M-bet Kenya, Tanzania, Uganda Database hacked and breached

M-bet Kenya, Tanzania, Uganda Database hacked and breached

Vijana mnapenda kuwa waharibufu badala ya kutumia ujuzi wenu kuliletea taifa na ninyi wenyewe maendeleo.hapo umeharibu data za watu walla hujafaidika chochote wao wanabackup watarudisha na biashara itaendelea. Wewe hujanufaika na wala huwezi kuweka kwenye cv halali.
Endapo ungeenda na kuwaambia tatizo lao huenda mngeweza kukaa chini na kufanya biashara. Hii ni kwa vijana wote tujitahidi kung'amua matatizo yanayoikumba jamii yetu na kutafuta namna bora ya kutatua.
ULICHOFANYA NI UPUMBAVU TUMIA TAALUMA/UJUZI KWA MANUFAA
Mkuu naona kama vle hauko Tanzania au??? May be unaliongelea hili swala ukiwa nje ya TZ, kama uko nje ya TZ basi uko sawa lkn kama uko ndani ya TZ thn you are very wrong.

Tanzania watu tunaodeal na technology hatupewi support, wanaishia kutukandamiza tu. Just imagine blog tu inabidi nilipie kodi, hapo sijanunua hosting na domain name. Sasa kama watu wana ujuzi wa kutungua hizi website zilizo uchi uchi bora watungue tu coz uwezo wao watautumia wapi sasa. Hata ukisema upeleke report ya vulnerabilities kwa wahusika wataishia kukugeuka tu na kukuuliza "nani kakupa ruhusa ya kuingia kwenye system(coz kisheria hairuhusiwi)" mwisho wa siku unatupiwa kesi bure.

Af system admins wengi wanajikuta wataalamu sana kumbe zero zero tu. Hawataki kukosolewa, time itafika siku systems nyeti kabisa zidukuliwe na ndipo waelewe.
 
Here is the database that contained all users info about users 1,824,953 leaked and dumped.. enjoy. .note there is more than this..

View attachment 1148498
below is the link to download the database breached


View attachment 1148500
the users table details

View attachment 1148501

View attachment 1148502

the administrator and his tokens....

here is how to use the tokens
to get full account info
View attachment 1148530

to check balance.
... nex post i will show you how to access system admin....

Do you have access to more user files?
 
Mkuu naona kama vle hauko Tanzania au??? May be unaliongelea hili swala ukiwa nje ya TZ, kama uko nje ya TZ basi uko sawa lkn kama uko ndani ya TZ thn you are very wrong.

Tanzania watu tunaodeal na technology hatupewi support, wanaishia kutukandamiza tu. Just imagine blog tu inabidi nilipie kodi, hapo sijanunua hosting na domain name. Sasa kama watu wana ujuzi wa kutungua hizi website zilizo uchi uchi bora watungue tu coz uwezo wao watautumia wapi sasa. Hata ukisema upeleke report ya vulnerabilities kwa wahusika wataishia kukugeuka tu na kukuuliza "nani kakupa ruhusa ya kuingia kwenye system(coz kisheria hairuhusiwi)" mwisho wa siku unatupiwa kesi bure.

Af system admins wengi wanajikuta wataalamu sana kumbe zero zero tu. Hawataki kukosolewa, time itafika siku systems nyeti kabisa zidukuliwe na ndipo waelewe.
Point.....
 
Mkuu naona kama vle hauko Tanzania au??? May be unaliongelea hili swala ukiwa nje ya TZ, kama uko nje ya TZ basi uko sawa lkn kama uko ndani ya TZ thn you are very wrong.

Tanzania watu tunaodeal na technology hatupewi support, wanaishia kutukandamiza tu. Just imagine blog tu inabidi nilipie kodi, hapo sijanunua hosting na domain name. Sasa kama watu wana ujuzi wa kutungua hizi website zilizo uchi uchi bora watungue tu coz uwezo wao watautumia wapi sasa. Hata ukisema upeleke report ya vulnerabilities kwa wahusika wataishia kukugeuka tu na kukuuliza "nani kakupa ruhusa ya kuingia kwenye system(coz kisheria hairuhusiwi)" mwisho wa siku unatupiwa kesi bure.

Af system admins wengi wanajikuta wataalamu sana kumbe zero zero tu. Hawataki kukosolewa, time itafika siku systems nyeti kabisa zidukuliwe na ndipo waelewe.
Wengine wanakukashifu kabisaaaa ....
 
Sinufaiki wala kuathirika kwa chochote kwa hichi alichokifanya huyu ndugu yetu. Nimetoa mtizamo na ushauri wangu kwake na kwa vijana wengine tuliopo kwenye tasnia ya technology. Ili ujuzi wetu ulete matokeo chanya kwa jamii na taifa kwa ujumla
Hiyo ni moja ya practical ya kumuonesha kuwa wameiva. Mtajuaje kama kuna hackers? Kingine inaongeza thamani kwa watu wa IT. Bongo haina huo utaratibu wa kuajiri au kuwapa watu kazi ya kufix hizo loop hole. Ukishagundua ukaenda kuwaambia wanaweza hata kukushitaki polisi. Mfano kuna yule hacker aliyehack system ya serikali ya south Africa kisha akaweka jina lake kama sehemu ya watu walioajiriwa. Ukikuta watu wenye akili ndogo wanakufunga ila wenye akili kubwa wanakuajiri ili uzibe hizo loop hole.
Mimi mwenyewe ni hacker ila nipo kwenye level ya script kiddies bado sijafika intermediate au elite
 
Hiyo ni moja ya practical ya kumuonesha kuwa wameiva. Mtajuaje kama kuna hackers? Kingine inaongeza thamani kwa watu wa IT. Bongo haina huo utaratibu wa kuajiri au kuwapa watu kazi ya kufix hizo loop hole. Ukishagundua ukaenda kuwaambia wanaweza hata kukushitaki polisi. Mfano kuna yule hacker aliyehack system ya serikali ya south Africa kisha akaweka jina lake kama sehemu ya watu walioajiriwa. Ukikuta watu wenye akili ndogo wanakufunga ila wenye akili kubwa wanakuajiri ili uzibe hizo loop hole.
Mimi mwenyewe ni hacker ila nipo kwenye level ya script kiddies bado sijafika intermediate au elite
Point..... Gud point...
 
hiii inaweza ikawa ni kweli asee mana mi password ilibadilika bila mimi kubadilisha adi saivi sina access na account yangu
 
Vijana mnapenda kuwa waharibufu badala ya kutumia ujuzi wenu kuliletea taifa na ninyi wenyewe maendeleo.hapo umeharibu data za watu walla hujafaidika chochote wao wanabackup watarudisha na biashara itaendelea. Wewe hujanufaika na wala huwezi kuweka kwenye cv halali.
Endapo ungeenda na kuwaambia tatizo lao huenda mngeweza kukaa chini na kufanya biashara. Hii ni kwa vijana wote tujitahidi kung'amua matatizo yanayoikumba jamii yetu na kutafuta namna bora ya kutatua.
ULICHOFANYA NI UPUMBAVU TUMIA TAALUMA/UJUZI KWA MANUFAA
Hahahaaa! Aisee!
Nakumbuka enzi hizo niko moto nilishusha website moja php files zote nikamuarifu admin hajajibu mpaka leo. Sema niliipotezea.

Admins ndii hufanya watu wafanye haya wanayofanya. Kwanza unakuta address ya kwenye contact us mara nyingi ni urembo tu!
 
Computer Science na Eng ndo mambo mnayojifunza watanzania.mnakuwa mwiba kwenye biashra za watu wengine
 
Kama ungekuwa mjanja ungechange odds ili ushinde lakin kuhack bila kupata pesa ni bad practice.

Real hack hawa hack sehem ambayo aina pesa wala faida.
Hawa wanafanya mazoezi bado, wacha wachezee system mbofu mbofu wapate uzoefu.
 
Back
Top Bottom