Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,780
Katibu wa Chama Cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) Wilaya ya Sikonge Mkoani Tabora Felix Lyata amesema uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 umepoa kwa sababu ajenda ya 'No Reforms no Election imeeleweka kwa wananchi huku akisisitiza kwamba ili uchaguzi uweze kuitwa uchaguzi ni lazima kuwepo na washindani wenye nguvu ili wananchi waweze kuchagua aliye bora zaidi.
"Siuoni uchaguzi kwa maana kwamba unapozungumzia ili tuweze kuita uchaguzi lazima kuwe na ushindani wa watu mbalimbali wenye nguvu ili wananchi waweze kuchagua kati ya wale wanaoshindana, Uchaguzi huu wa mwaka huu hauna ushindani wa aina yeyote, hauna washindani wa aina yeyote ambao wanaweza wakatushawishi sisi tukaanini kwamba kuna uchaguzi, Ukiniambia mimi naona nini mbele mimi naona giza kwa sababu naona uchaguzi wa chama kimoja"
Felix amefafanua chaguzi mbalimbali zilizopita akisisitiza kwamba chaguzi zilianza kiharibika mwaka 2020.
"Siuoni uchaguzi kwa maana kwamba unapozungumzia ili tuweze kuita uchaguzi lazima kuwe na ushindani wa watu mbalimbali wenye nguvu ili wananchi waweze kuchagua kati ya wale wanaoshindana, Uchaguzi huu wa mwaka huu hauna ushindani wa aina yeyote, hauna washindani wa aina yeyote ambao wanaweza wakatushawishi sisi tukaanini kwamba kuna uchaguzi, Ukiniambia mimi naona nini mbele mimi naona giza kwa sababu naona uchaguzi wa chama kimoja"
Felix amefafanua chaguzi mbalimbali zilizopita akisisitiza kwamba chaguzi zilianza kiharibika mwaka 2020.