Nyie waropokaji huwa mjaaa tuu humu jf uzuri nimeangalia marudio ya hotuba hii pale itv alimjibu vizuri sana tena sana...............alimwambia waziri wa viwanda na Mbunge watafute mwekezaji kule kuna madini ya bati wakimpata wataweza kupanga bei lakini ni vigumu kutegemea mabati kutoka dar yapunguzwe bei unayo taka wewe ni vigumu sana watu wanafanya biashara...
Mimi nimeanza kuamini maneno ya Lema ni kweli alioteshwa na kutumwa ayaseme. Mungu hapo kale according to vitabu vitakatifu hakuwa anawatuma watu waoga kupeleka ujumbe. Mitume wengi waliokuwa wanatumwa kupeleka ujumbe waliteswa sana, kudhalilishwa na hata kuuwawa lakini walikomaa kutimiza walichotumwa.Watu wanaofanya kazi na huyu jamaa sijui wakoje ,mimi nisingeweza
Hichi kiburi cha uzima sijui kitamfikisha wapi ?
Hicho kiti alichokalia ndio kaanza yeye ?
Wenzake wako wapi ?
Whatever will be ,will be ...i don't care if he flies to heaven on wings or die like any other MofoMimi nimeanza kuamini maneno ya Lema ni kweli alioteshwa na kutumwa ayaseme. Mungu hapo kale according to vitabu vitakatifu hakuwa anawatuma watu waoga kupeleka ujumbe. Mitume wengi waliokuwa wanatumwa kupeleka ujumbe waliteswa sana, kudhalilishwa na hata kuuwawa lakini walikomaa kutimiza walichotumwa.
Nina hofu sana, whats next?
Nimependa kauli yako "kiburi cha uzima" hapo ndipo binadam wengi wanapokosea wakifikiri watakuwepo dunia hii milele. Hicho ndicho kiburi anachokionesha mh. akifikiri hicho cheo na maisha ni vya kudumu. Hawezi tena kuishi mara mbili ya umri alionao sasa atafutika kabisa juu ya uso wa dunia. Itamsaidia nini? Ajiulize waliotangulia wako wapi?Watu wanaofanya kazi na huyu jamaa sijui wakoje ,mimi nisingeweza
Hichi kiburi cha uzima sijui kitamfikisha wapi ?
Hicho kiti alichokalia ndio kaanza yeye ?
Wenzake wako wapi ?
Uje umalizie dozi yako hapa Milembe,ulikuwa kwenye majaribio naona kichaa kimerudi kwa fujoMagufuli ni mwiba kwa waliodumaa akili ufipa kila siku ni kulialia tu wapewe msaada, lakini Magufuli ni nuru kwa wanaotaka changamoto mpya na kijikwamua kimaisha.