JERUSALEM 2006
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 527
- 596
wilfred muganyizi lwakatare akiwa na baba yake mzazi muda mfupi baada ya kurejea kutoka India kwa matibabu.
Wilfred Lwakatare, anawashukuru watanzinia wote waliomuombea na kurejea nyumbani baada ya kufanyiwa operation nchini India. Lwakatare kupitia ukurasa wake wa facebook anasema anaendelea vizuri na anamshukuru Mungu.