Lusinde: Kiti cha spika kinapwaya

Nitoe maombi kwa Mheshimiwa HKigwangalla kwa vile wewe ni member humu hebu mfungulie Bw Lusinde hii thread asome au akiona uvivu kusoma (kama ilivyo kawaida kwa waliokosa shule) basi msomee ili ajue watu wanamchukuliaje yeye binafsi na kauli zake.
Wakati mwingine tunakosea sana kwa kuwalaumu watu kama Lusinde kumbe hawajitambui na hawapati fursa ya kujua watu wanawachukulia vipi.
 
Last edited by a moderator:

Hueleweki.Au Lusinde type?
 
Lusinde kaongea vizuri sana. Leo wabunge wa UKAWA wameipata fresh

Lusinde ni mwakilishi wa ukawa au wanamtera?..CCM itazid kuporomoka sababu yakuwa na wabunge km hawa...hv km ww ni mpiga kura wake dhen unamwona mbunge uliyemchagua anaongea fikra mgando km jamaaa....utampongeza?...mshenzi kabisa...
 
Huyu Spika wetu bibi Kiroboto naona mwisho wake 2015 inatosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…