Wenginajadili upuuzi, hii inanishawishi wengi mlifuata magamba vyuoni na mashuleni, mtu aliyeelimisha hujadili mambo muhimu na kutoa suluhisho ya nini kifanyike kwa maslahi ya nchi yetu. Mm c muumini wa siasa, ola kwa style hii upinzani tz itabidi wasubiri sana, other wise badilikeni, kwa kufanya siasa za kistarabu.