Rasib
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 395
- 45
Sasa hii kali Hatimaye Mheshimiwa Lucy Inde(lusinde) atajwa kuwa miongoni mwa mawaziri wapya watakalo suka hilo baraza jipya, vyanzo vyangu vya habari inasema Kibajaji amepewa hiyo nafasi ili kumfuta machozi baada ya kushiriki vizuri katika kampeni za Arumeru Mashariki wakati akimnada mgompea wa CCM, SIOI SUMARI....Je anaweza akafit katika wizara gani maana source yangu haikuweka bayana wizara....
Nawasilisha hojaa..
Source MIMII.
Nawasilisha hojaa..
Source MIMII.