Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,307
Ningekuwa na mda ningemsikiliza lakini naona kuna mwingiliano hapa, mda ambao yeye anataka kuongea naye mwanangu amedai kuna hadithi anataka anihadithie wamejifunza shule, hivyo najaribu kuwashindanisha ni nani asikilizwe naona Lusinde hana nafasi kabisa.
tusi zuri sana kwa bwana lusinde,hata mimi ningesikiliza lakini natakiwa kumpeleka mbwa wangu kwa vet.