Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Mbunge wa Mtera bwana Livingstone Lusinde ameishangaa serikali ya chama cha mapinduzi kwa namna ilivyotelekeza shule za primary na sekondari katika jimbo lake na ameshauri kama wameshindwa ni bora watangaze shule hizo zigeuzwe hotel.
Amesema hayo alipokuwa kwenye kikao na baraza la madiwani wa jimbo lake.
Concern
Naona sasa CCM wameanza kubanwa na mfumo wa uendeshaji wa nchi na wakiwa bungeni huwa wanadhani kuwa ni wapinzani tu ndio wanaumizwa na kusahau ugumu wa maisha na miundombinu inatutafuna wote wapinzani na wasio wapinzani.
Amesema hayo alipokuwa kwenye kikao na baraza la madiwani wa jimbo lake.
Concern
Naona sasa CCM wameanza kubanwa na mfumo wa uendeshaji wa nchi na wakiwa bungeni huwa wanadhani kuwa ni wapinzani tu ndio wanaumizwa na kusahau ugumu wa maisha na miundombinu inatutafuna wote wapinzani na wasio wapinzani.