SirAlfred006
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 509
- 1,210
Maisha ni yake. Wakenya hayatuhusi
Dada ujengewe sanamuHivi utamu wote wa mwanaume huu jamani unaanzaje kukubali kushikwa na mwanamke mwenzio
.
Kifua na misuli ya kiume ikikubananisha kwenye kona na harufu ya kiume mwili wote unasisimkaaaa OMG!!!
Kwenye yale mambo yetu ya 6*6 ndio kabisaaa mimi hoi...
Ahsante mungu kwa kutuletea wanaume