SirAlfred006
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 552
- 1,305
Maisha ni yake. Wakenya hayatuhusi
Dada ujengewe sanamuHivi utamu wote wa mwanaume huu jamani unaanzaje kukubali kushikwa na mwanamke mwenzio[emoji57]
.
Kifua na misuli ya kiume ikikubananisha kwenye kona na harufu ya kiume mwili wote unasisimkaaaa OMG!!!
Kwenye yale mambo yetu ya 6*6 ndio kabisaaa mimi hoi...
Ahsante mungu kwa kutuletea wanaume[emoji125][emoji125]
HahahaUtakuwa unanifananisha na uliokua nao na yao. 💀
Tumuombee wasimvute kuwa kama wao.. wabaki kuwa marafiki tu.. kama wengi walivyo na marafiki lezi ila wao sio kabisa.