Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,692
- 26,202
Hapo sasa ndio ataheshimika na kukubalika zaidi na wazungu.Dada yetu ambaye ni role model wa mabinti wengi sana Africa ameanza kutoa boko!
Usiku wa juzi, Lupita ameonekana kushikana shikana kimahaba na msagaji maarufu wa Marekani, Jannele Monae huko kwenye event ya Met Gala.
Huyo Jannele ni msanii wa muziki na muigizaji wa filamu. Umaarufu wake unatokana na kuwahi kujitangaza kuwa ni msagaji na kuweka wazi mahusiano yake na Tessa Thompson (wadau wenzangu wa movies mtakuwa mnamjua huyu mrembo).
Inawezekana wakawa wanatoka kimapenzi au wameamua kutafuta kiki au labda Janelle anamrusha roho ex wake (Tessa) waliomwagana hivi karibuni... Sijui.. But haya mambo haya yaanzaga hivi hivi.
Kama ni kweli Lupita ameanza kuiga tamaduni za Magharibi, Wakenya mtaambia nini watu?
Kwahiyo MBJ alikuwa anafekiwa mafeelings na msagaji?Alitisha sana mule. Alitumia jina la Bianca kama sikosei.
Sasa hivi yumo tena kwenye Avengers:endgame ya mwaka huu!
Hapo Kenya tu wanaume wanaoa kwa ndoa za kiserikali na wana established and legalize LGBTQ community so usiwashangaeDada yetu ambaye ni role model wa mabinti wengi sana Africa ameanza kutoa boko!
Usiku wa juzi, Lupita ameonekana kushikana shikana kimahaba na msagaji maarufu wa Marekani, Jannele Monae huko kwenye event ya Met Gala.
Huyo Jannele ni msanii wa muziki na muigizaji wa filamu. Umaarufu wake unatokana na kuwahi kujitangaza kuwa ni msagaji na kuweka wazi mahusiano yake na Tessa Thompson (wadau wenzangu wa movies mtakuwa mnamjua huyu mrembo).
Inawezekana wakawa wanatoka kimapenzi au wameamua kutafuta kiki au labda Janelle anamrusha roho ex wake (Tessa) waliomwagana hivi karibuni... Sijui.. But haya mambo haya yaanzaga hivi hivi.
Kama ni kweli Lupita ameanza kuiga tamaduni za Magharibi, Wakenya mtaambia nini watu?
Ni kweliila mwanamke kusaga naonaga wala sio ishu...ishu ya mamen kupigana deep tissues
Kuna mshikaji alikuwa anasema anaweza kuangalia porn za mademu wakisagana na akapata stimu.
But za mamen anatapika!
Mkiwauliza haya maswali mtavumilia majibu yao au mtaanza kuwatukana?
Umemaliza mkuulupita ni mzaliwa wa mexico na kukulia mexico...huo ukenya nyinyi ndio mnaforce sijui mkoje
Truth is wanawake wanawachukia lesbians ila wanawapenda gays. Wanaume wanawakubali lesbians na kuchukia gays. What a balanced paradoxKwanza mm naenjoy sana ma man , yani kitu kama cha 3 sum ,, ohoooo ,,, mtu una mkongoti bado unataka wa mwenzako si bora ujisokomezee wako hahahahahahhaha ... Gademitiiiii
Baba yao Ana hasaraNgoja tuone na kaka yake nasikia ni wali
Mkiwauliza haya maswali mtavumilia majibu yao au mtaanza kuwatukana?
Nimefurahi tu shem (nimekubali kishingo upande)Shem cheko hilo!
Truth is wanawake wanawachukia lesbians ila wanawapenda gays. Wanaume wanawakubali lesbians na kuchukia gays. What a balanced paradox