Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
- Thread starter
- #21
Yes. Upo sahihi mkuu.. Lakini hata thread haipo conclusive kama umeisoma vizuri..bado huu sio ushahidi.
Mademu wote wakikutana wanatabia ya kubusiana, kukumbatiana, kupapasana na utakuta hata sio wasagaji.
haya maswala ya chumbani yanahitaji ushahidi wa karibu mno.
lets say Wema sepetu anajulikana ni msagaji(kwa maelezo ya mama yake) na juzi uwanja wa taifa alikua close wanahug na Jokate, Je mbona hamsemi kuwa Jokate kajiingiza kwenye usagaji??
Watu wanahoji huo ukaribu wao kwenye events mbalimbali. Hata wewe ukiongozana na mwizi mara kwa mara lazima watu wakuwekee shaka!
Time will tell!