Lupita Nyong'o ameanza kuunyemelea usagaji

Dada yetu ambaye ni role model wa mabinti wengi sana Africa ameanza kutoa boko!

Usiku wa juzi, Lupita ameonekana kushikana shikana kimahaba na msagaji maarufu wa Marekani, Jannele Monae huko kwenye event ya Met Gala.

Huyo Jannele ni msanii wa muziki na muigizaji wa filamu. Umaarufu wake unatokana na kuwahi kujitangaza kuwa ni msagaji na kuweka wazi mahusiano yake na Tessa Thompson (wadau wenzangu wa movies mtakuwa mnamjua huyu mrembo).

Inawezekana wakawa wanatoka kimapenzi au wameamua kutafuta kiki au labda Janelle anamrusha roho ex wake (Tessa) waliomwagana hivi karibuni... Sijui.. But haya mambo haya yaanzaga hivi hivi.

Kama ni kweli Lupita ameanza kuiga tamaduni za Magharibi, Wakenya mtaambia nini watu?
Hapo sasa ndio ataheshimika na kukubalika zaidi na wazungu.
 
58755297_2384861731534802_6040623223774611340_n.jpg
 
Alitisha sana mule. Alitumia jina la Bianca kama sikosei.

Sasa hivi yumo tena kwenye Avengers:endgame ya mwaka huu!
Kwahiyo MBJ alikuwa anafekiwa mafeelings na msagaji?
Yule dada uzuri wote ule ni msagaji! Daah nimeumia

Daah Kristu aje upesi tu
 
Dada yetu ambaye ni role model wa mabinti wengi sana Africa ameanza kutoa boko!

Usiku wa juzi, Lupita ameonekana kushikana shikana kimahaba na msagaji maarufu wa Marekani, Jannele Monae huko kwenye event ya Met Gala.

Huyo Jannele ni msanii wa muziki na muigizaji wa filamu. Umaarufu wake unatokana na kuwahi kujitangaza kuwa ni msagaji na kuweka wazi mahusiano yake na Tessa Thompson (wadau wenzangu wa movies mtakuwa mnamjua huyu mrembo).

Inawezekana wakawa wanatoka kimapenzi au wameamua kutafuta kiki au labda Janelle anamrusha roho ex wake (Tessa) waliomwagana hivi karibuni... Sijui.. But haya mambo haya yaanzaga hivi hivi.

Kama ni kweli Lupita ameanza kuiga tamaduni za Magharibi, Wakenya mtaambia nini watu?
Hapo Kenya tu wanaume wanaoa kwa ndoa za kiserikali na wana established and legalize LGBTQ community so usiwashangae

Hao ni nyang'au since then
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom