Luninga hupoteza nguvu za kiume

Luninga hupoteza nguvu za kiume

Keykey

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2006
Posts
3,251
Reaction score
750
Hii imekaaje? Hizi habari za kutiana hofu, ooohooo!!!

za+kiume.jpg


Wanaotumia runinga kwa muda mrefu hupoteza nguvu za kiume

WANAUME wanaotumia muda wa saa tatu na zaidi kwa siku kutazama runinga wanapoteza nguvu za kiume ukilinganisha na wale wanaotazama runinga mara chache.

Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Afya ya Umma cha Havard (HSPH) kilichopo Boston nchini Marekani, umebaini kuwa kuporomoka kwa kiwango cha mbegu za kiume kunahusiana moja kwa moja na kutofanya mazoezi na kutazama runinga kwa muda mrefu.

I
meelezwa kuwa wanaume wanaotazama runinga kwa zaidi ya saa 20 kila wiki wanapoteza asilimia 44 ya mbegu za kiume ukilinganisha na wale wasiotumia muda mrefu katika runinga.

SOURCE: Mwananchi
 
Ingia kwenye link hii ya gazeti la mwananchi ujisomee utafiti huo

http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1687952/-/11sd59u/-/index.html

My take;
suala la nguvu za kiume limekuwa ishu kuu kwa sasa hadi vitu vingine ambavyo visingedhaniwa navyo vinaonekana kama ni visababishi.
 
Laptop+Simu+Luninga+Vyakula+Madawa+Stress = ???... Ni janga na hatarishi zaidi kwenye ndoa za watu.
 
Daaaaaaaaahhh!wanaume punguzeni kuangalia televisheni,vinginevyo nguvu kushnei na mawife watawakimbieni mzabzab njoo utupie kicoment hapa basi kwani we huwa unaagali tv masaa mangapi?
 
Last edited by a moderator:
kusikiliza redio kunaongeza nguvu za kiume..utafiti uliofanywa na Rev. Dk. Bujibuji wa CC UNIV. JF
 
Laptop+Simu+Luninga+Vyakula+Madawa+Stress = ???... Ni janga na hatarishi zaidi kwenye ndoa za watu.
Khaaaaaaa noahism na we unayajua haya,uliyajulia twisheni eeehhh?unaona sasa ndo maana mi nakwambia hiyo twisheni yako siipendi kabisa ila we tu hutaki kunielewa.kwani mi nishakufundishaga haya mambo lini kama sio huko twisheni kwenu?
 
Last edited by a moderator:
mmmh! Kaka sio wewe, ujanifundisha mimi mwalimu alinifundisha kwenye somo la physchemistry ohoh! ni Biology.
Khaaaaaaa noahism na we unayajua haya,uliyajulia twisheni eeehhh?unaona sasa ndo maana mi nakwambia hiyo twisheni yako siipendi kabisa ila we tu hutaki kunielewa.kwani mi nishakufundishaga haya mambo lini kama sio huko twisheni kwenu?
 
Last edited by a moderator:
mmmh! Kaka sio wewe, ujanifundisha mimi mwalimu alinifundisha kwenye somo la physchemistry ohoh! ni Biology.
Mhhhhhhh twishen zenu vijana wa siku hizi shughuli tupu si za kwetu zamani hazikuwaga hiyo.loooooo shughuli ipo noahism nataka nikupm ila nashindwa umejiset kutokuwa pmd au?
 
Last edited by a moderator:
Baadae utafiti utakua hv: WANAUME WANAOSHINDA JF MDA MREFU KUPOTEZA NGUVU ZA KIUME.. Oops i mean kwenye mitandao ya kijamii... LOL
 
Baadae utafiti utakua hv: WANAUME WANAOSHINDA JF MDA MREFU KUPOTEZA NGUVU ZA KIUME.. Oops i mean kwenye mitandao ya kijamii... LOL

Dah yani mkuu hizi habari wamesubiri hadi mataifa ya afrika yanaishilizia ndio wanasema...!
Wallahi tutakua kushnehi kabisa :nimekataa!!
 
ni TV tu au na computer ???? sasa naanza kupata jibu,zamani nilikuwa naenda mpaka raundi 5 sasa loooh tatu hoi mpaka nipate glass ya maji,tv sasa mwiko bora niende bar nikapotezee na tusker bariiiiiiiiiid
 
aseeh........au ndo maana DNA siku hizi zinasoma ndivo sivo eeh!!!
 
Daaaaaaaaahhh!wanaume punguzeni kuangalia televisheni,vinginevyo nguvu kushnei na mawife watawakimbieni mzabzab njoo utupie kicoment hapa basi kwani we huwa unaagali tv masaa mangapi?

ah mie naangalia tv masaa mengi tuu hasa wakati wa wikend ndio kuanzia saa 10 jioni had tisa usiku nacheki football tuu.
ah nguvu zikiisha tena itakuwa balaa mbona....na kwa wanawake tv ina effect gani?
 
Maneno hayoooooooo! ( ivi kipindi cha redio gani vile)
 
Wanabodi,

Wanaume wanaotumia muda wa saa tatu na zaidi kwa siku kutazama runinga wanapoteza nguvu za kiume ukilinganishwa na wale na wale wanaotazama runinga mara chache.

Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Afya ya Umma cha Havard (HSPN) kilichopo Boston nchini Marekani, umebaini kuwa kuporomoka kwa kiwango cha mbegu za kiume kinahusiana moja kwa moja na kutofanya mazoezi na kutazama runinga kwa muda mrefu.

Inasemekena kwa wanaume waotazama runinga kwa zaidi ya saa 20 kila wiki wanapoteza asilimia 73 ya mbegu za kiume.

Vile vile wanaume wanaohitaji watoto wanatakiwa kuacha kuvaa nguo za ndani zinazobana ili kuimarisha kiwango cha mbegu za kiume huku waendesha baiskeli nao wanapoteza nguvu za kiume.
 
haaa zikiisha shauri yake tv ni part and parcel ya my life
 
dah....nguvu za kike sijui zitaanza kuisha lini
 
Hii habari inatuweka majaribuni, sie wengine wapenzi wa kabumbu na hukaa sana masaa zaidi ya hayo. Namtafuta mwanasheria wangu hawa jamaa ni kuwaburuza kortini!
 
Back
Top Bottom