Lunar Eclipse: June 15, 2011

Chukua camera piga picha then mforwadie popote alipo atapata teacher

Natamani, ila kamera yenye uwezo wa picha za aina hii sina. Najua nitazipata picha nyingi tu later lakini kuwa nao kwenye tukio ni more insightful, meaningful, memorable
 
Mh! Na hili giza mwalimu... Si ingebidi uwasindikize mmoja mmoja kurudi bwenini sijui nyumbani...au wee mwalimu wa mjini St.nanii...lol

Asa huo ni wivu, kuhusu kurudi nyumbani/bwenini hilo niachie. Nina uzoefu ati, lolz!
 
Bila shaka kwa majira haya ninavyoiona ni kama njano na si njano, mwekundu na si mwekundu yani hakika mambo ya MUNGU mwachieni MUNGU na ya ngoso na aachiwe ngoso mwenyewe. Na hapa kwe2 Tanzania ilianza mchezo huo saa 22:10 hv na kuendelea polepole mpk mjr haya ni hivyo hivyo. NA SILALI MPK NIO UJIO WAKE WA KAWA.
 
Mijitu siku hizi inaboa sana mbona haipigi makopo kama zamani ili jua liuachie mwezi? haya ni matokeo ya utawazimu.
 
Bila shaka kwa majira haya ninavyoiona ni kama njano na si njano, mwekundu na si mwekundu yani hakika mambo ya MUNGU mwachieni MUNGU na ya ngoso na aachiwe ngoso mwenyewe. Na hapa kwe2 Tanzania ilianza mchezo huo saa 22:10 hv na kuendelea polepole mpk mjr haya ni hivyo hivyo. NA SILALI MPK NIO UJIO WAKE WA KAWA.
kaka hapo umeniacha hoi masaa ishirini na mbili? mwe,sisi huku kijijini tumezoea mfumo wa masaa kumi na mbili tu! Baada hapo mandalizi kulala.
 
Tutegemee nini basi, kwa wale waliozaliwa kati ya tarehe 13 juni hadi 20, na desemba 13 hadi 20 wakae chonjo kwani wana miaka saba ya machungu. Pia kwa wale wenye sayari ktk nyuzi hizi 20-28 Mapacha na Mshale (ikiwemo nchi yetu). Kubwa zaidi kutakuwa na ugunduzi mkubwa wa habari za uongo ambazo zilikuwa zikijulika kama za kweli, hii inaweza kuleta mtafaruku. Kwa kuwa Mars ndiye atakuwa bwana wa kupatwa huku ambako nako kunatokea ktk nyota ya moto - mshale; kwa hiyo machafuko, vifo vya jumla, mioto, vitegemewe sana. Uzuri mmoja ni kuwa Mars akiwa ndiye bwana wa kupatwa ataonyesha na njia ya kutokea pia ktk matatizo hayo.

mh! Mars yumo kazini kuanzia 26 july 2011 . Tarehe 10 Sept Mars aliifikia degree ya eclipse hii ya June 15, 2011 akiwa ndani ya nyota KAA/Cancer, tena hapa ni imekufa. Sasa tuisubiri kuanzia 30 October Mars itakapoifikia degree hii tena ikiwa ndani ya nyota nyingine ya moto LEO/Simba. UMEZE USIMEZE the universe does decide on our fate.
 
Back
Top Bottom