Lunar Eclipse: June 15, 2011

Mkuu hapa Arusha hatuna bahati kabisa. Wingu limetanda na limeufunika mwezi wala hatulioni tukio lenyewe!
 
Jana kuna thread niliileta kuhusu kupatwa kwa mwezi leo hii ni ishara ya kuwa Mungu yupo tunatakiwa kumwomba Mungu katika kipindi hiki.
 
Kesho tarehe 15/6/2011 mwezi utapatwa katika nyota Mshale Kubwa zaidi kutakuwa na ugunduzi mkubwa wa habari za uongo ambazo zilikuwa zikijulika kama za kweli, hii inaweza kuleta mtafaruku..


Hii ni kweli kabisa imetokea, leo Nape kagundua UONGO mkubwa CDM wakati wakisoma bajeti yao kivuli, zile porojo za elimu bure na sementi ya buku tano zimedadavuliwa basi wamebaki na aibu kama wamejinyea.
 
Back
Top Bottom