Kweli bwana nimeonani total ndugu yangu utadumu hadi saa 5 usiku za huko tanzania kuna mtu katoa thread kama hii isome au angalia google iko live pia.
Kwa sasa ni partial,lkn itakuwa kuwa full baadae na uwekundu flani umeanza kuonekana kwenye giza katika mwezi!ni partial
ni deep eclipse of the moon. Nani kasema ni partial????ni partial
Naona Sugi geographia yako imefikia kikomo hapo.umefika nusu sasa,nadhani ndo mwisho wa dunia unakaribia hivo!
Kesho tarehe 15/6/2011 mwezi utapatwa katika nyota Mshale Kubwa zaidi kutakuwa na ugunduzi mkubwa wa habari za uongo ambazo zilikuwa zikijulika kama za kweli, hii inaweza kuleta mtafaruku..
Nadhan itakuwa penumbra, penumbra inachukuwa sehemu kubwa alaf umbra itakuja baadae ambayo itachukua sehemu ndogo. Kama nimekosea tayari kusahihishwa!Yeah naona umepatwa kwa chini wil it be umbra or penumbra??