Mpap Ndabhit
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 380
- 534
Sasa hivi Mbeya ni kama serikali iko likizo kwa jinsi wafanyabiashara wanavyopora wakulima mchana kweupe.
Ukiangalia Lumbesa ya gunia la viazi huwezi kubisha kwamba mkulima hapati chochote. Yaani heka moja ungeweza kupata gunia za viazi 70 kwa sababu ya Lumbesa utaambulia gunia 52!
Viongozi wa chama na serikali wapo, vizuizi vya ukaguzi mazao ya shambani vipo sijui wanafanya kazi gani?
Mnao husika amkeni saidieni wakulima wa viazi wafanyabiashara wanatajirika wakulima wanazidi kuwa masikini!
Ukiangalia Lumbesa ya gunia la viazi huwezi kubisha kwamba mkulima hapati chochote. Yaani heka moja ungeweza kupata gunia za viazi 70 kwa sababu ya Lumbesa utaambulia gunia 52!
Viongozi wa chama na serikali wapo, vizuizi vya ukaguzi mazao ya shambani vipo sijui wanafanya kazi gani?
Mnao husika amkeni saidieni wakulima wa viazi wafanyabiashara wanatajirika wakulima wanazidi kuwa masikini!