Lukuvi: TTCL na TANESCO zinaongoza kwa deni la kodi ya ardhi. Je, vipi ilitoa gawio kwa serikali?

serikali imetoka kwenye kutumia" cash basis" na sasa inatumia "accrual basisi of accounting".

Accrual basisi of accountingi ni nini?
Under the accrual basis of accounting (or accrual method of accounting), revenues are reported on the income statement when they are earned. When the revenues are earned but cash is not received, the asset accounts receivable will be recorded. (Under the cash basis of accounting, revenues are not reported on the income statement until the cash is received.)

Also under the accrual basis of accounting,
expenses are reported on the income statement when they match up with the revenues being reported, or when a cost has no future benefit that can be measured. When an expense occurs and cash has not yet been paid, a liability account will also be recorded. (The expenses that were not paid in the current accounting period will be reported through adjusting entries .)

nadhani utakuwa umeelewa " gawio " lilipotoka, sio lazima expenses zote zilipwe, nyingine zitapostiwa katika next accounting period zitakapolipwa
Madesa yanatupoteza mlimsomea hivi mtukufu nae akaitisha press conference
 
serikali imetoka kwenye kutumia" cash basis" na sasa inatumia "accrual basisi of accounting".

Accrual basisi of accountingi ni nini?
Under the accrual basis of accounting (or accrual method of accounting), revenues are reported on the income statement when they are earned. When the revenues are earned but cash is not received, the asset accounts receivable will be recorded. (Under the cash basis of accounting, revenues are not reported on the income statement until the cash is received.)

Also under the accrual basis of accounting,
expenses are reported on the income statement when they match up with the revenues being reported, or when a cost has no future benefit that can be measured. When an expense occurs and cash has not yet been paid, a liability account will also be recorded. (The expenses that were not paid in the current accounting period will be reported through adjusting entries .)

nadhani utakuwa umeelewa " gawio " lilipotoka, sio lazima expenses zote zilipwe, nyingine zitapostiwa katika next accounting period zitakapolipwa
Acha maneno mengi we buku7
Akaunt basis Acralaa blah blah kingereza kingi
Lipaaaa deni

Ova
 
hayo maswali umeuliza wewe au aliuliza mhe. waziri?

1. TANESCO na TTCL sio idara katika wizara ya ardhi na deni la TTCL na TTCL kwa wizara halihusiani moja kwa moja na majukumu ya kila siku ya TANESCO.

2. Gawio lililotoa TANESCO na TTCL ni sehemu ya faida kwa utendaji wake wa kila siku na imekwenda hazina kuu(wizara ya fedha) na sio wizara ya ardhi hivyo wizara haiwezi kuzitathmini uwezo wa TTCL na TANESCO kwa kuwa tu deni lake halijalipwa.
Eti eeh?
 
hayo maswali umeuliza wewe au aliuliza mhe. waziri?

1. TANESCO na TTCL sio idara katika wizara ya ardhi na deni la TTCL na TTCL kwa wizara halihusiani moja kwa moja na majukumu ya kila siku ya TANESCO.

2. Gawio lililotoa TANESCO na TTCL ni sehemu ya faida kwa utendaji wake wa kila siku na imekwenda hazina kuu(wizara ya fedha) na sio wizara ya ardhi hivyo wizara haiwezi kuzitathmini uwezo wa TTCL na TANESCO kwa kuwa tu deni lake halijalipwa.
Sijakuelewa tafadhali naomba ufafanuzi.
 
serikali imetoka kwenye kutumia" cash basis" na sasa inatumia "accrual basisi of accounting".

Accrual basisi of accountingi ni nini?
Under the accrual basis of accounting (or accrual method of accounting), revenues are reported on the income statement when they are earned. When the revenues are earned but cash is not received, the asset accounts receivable will be recorded. (Under the cash basis of accounting, revenues are not reported on the income statement until the cash is received.)

Also under the accrual basis of accounting,
expenses are reported on the income statement when they match up with the revenues being reported, or when a cost has no future benefit that can be measured. When an expense occurs and cash has not yet been paid, a liability account will also be recorded. (The expenses that were not paid in the current accounting period will be reported through adjusting entries .)

nadhani utakuwa umeelewa " gawio " lilipotoka, sio lazima expenses zote zilipwe, nyingine zitapostiwa katika next accounting period zitakapolipwa
Ulisikia maneno ya mpokea gawio? Haya unayoyaeleza hapa yanajulikana na wadau wote wakiwepo sie umma?
 
Unasemaje umepata faida bila kulipa gharama zote za uendeshaji wa biashara au huduma ? Au ndio hesabu za iWonder ☻
mimi muhasibu,nimesoma nikaona dogo ukimjibu unampoteza ,eti faida ya uendeshaji wa kila siku afu unadaiwa umeme my lord have merci
 
  • Thanks
Reactions: vvm
serikali imetoka kwenye kutumia" cash basis" na sasa inatumia "accrual basisi of accounting".

Accrual basisi of accountingi ni nini?
Under the accrual basis of accounting (or accrual method of accounting), revenues are reported on the income statement when they are earned. When the revenues are earned but cash is not received, the asset accounts receivable will be recorded. (Under the cash basis of accounting, revenues are not reported on the income statement until the cash is received.)

Also under the accrual basis of accounting,
expenses are reported on the income statement when they match up with the revenues being reported, or when a cost has no future benefit that can be measured. When an expense occurs and cash has not yet been paid, a liability account will also be recorded. (The expenses that were not paid in the current accounting period will be reported through adjusting entries .)

nadhani utakuwa umeelewa " gawio " lilipotoka, sio lazima expenses zote zilipwe, nyingine zitapostiwa katika next accounting period zitakapolipwa
asee unatoa gawio afu hujalipia mothly obligations ?
 
Walisahau kukata kabla ya kucalculate faida..lukuvi ni kama kawafumania..itabidi wabalanciane mbele ya safari
 
hayo maswali umeuliza wewe au aliuliza mhe. waziri?

1. TANESCO na TTCL sio idara katika wizara ya ardhi na deni la TTCL na TTCL kwa wizara halihusiani moja kwa moja na majukumu ya kila siku ya TANESCO.

2. Gawio lililotoa TANESCO na TTCL ni sehemu ya faida kwa utendaji wake wa kila siku na imekwenda hazina kuu(wizara ya fedha) na sio wizara ya ardhi hivyo wizara haiwezi kuzitathmini uwezo wa TTCL na TANESCO kwa kuwa tu deni lake halijalipwa.
Ili uweze kupata faida lazima utoe matumizi na moja wapo ya gharama za matumizi ni kodi ya ardhi mkuu umesoma shule kweli au hujui unachoongea?
 
asee unatoa gawio afu hujalipia mothly obligations ?
faida hayo mashirika yanapata ndio maana yanaweza kutoa dividend(gawio). Deni linalozungumziwa na Mhe. Lukuvi juu ya mashirika hayo ni malimbikizo ya deni la nyuma na si katika accounting period ambayo financial statements zilitengenezwa. unataka kusema ndani ya mwaka mmoja, TTCL na TANESCO zinaweza kuwa zinadaiwa bilion 40.1 na 26 respectively na wizara ya ardhi?
 
Hii taarifa imetolewa na ITV.
Naomba kujulishwa inakuwaje unadaiwa billions huku unatoa billions kama gawio la serikali kama mafanikio?
Na unapata pongezi kuwa umefanya vizuri aidha kuliko wengine ambao hawakutoa gawio lakini hawadaiwi deni lolote?
Kumbuka, hapa unayempa gawio ndiye anayekudai na hapohapo anakupongeza?
Hawa ttcl si walitoa gawio? Siasa kumbe nao hawajamaliza shida zao? Duuh aisee
 
faida hayo mashirika yanapata ndio maana yanaweza kutoa dividend(gawio). Deni linalozungumziwa na Mhe. Lukuvi juu ya mashirika hayo ni malimbikizo ya deni la nyuma na si katika accounting period ambayo financial statements zilitengenezwa. unataka kusema ndani ya mwaka mmoja, TTCL na TANESCO zinaweza kuwa zinadaiwa bilion 40.1 na 26 respectively na wizara ya ardhi?
TULITARAJIA USITOE GAWIO KWANZA UMALIZE MADENI CURRENT,WEWE KIDUKA CHAKO UNAWEZA DAIWA NA TANESCO MIL MOJA YA NYUMA WAKAKUACHA UENDELEEE ?
 
faida hayo mashirika yanapata ndio maana yanaweza kutoa dividend(gawio). Deni linalozungumziwa na Mhe. Lukuvi juu ya mashirika hayo ni malimbikizo ya deni la nyuma na si katika accounting period ambayo financial statements zilitengenezwa. unataka kusema ndani ya mwaka mmoja, TTCL na TANESCO zinaweza kuwa zinadaiwa bilion 40.1 na 26 respectively na wizara ya ardhi?
Nikuulize swali. Je, Mh. Lukuvi angejitokeza na madai yake kabla ya hilo gawio, na yakalipwa, hivyo vitabu vya shirika bado vingerekodi faida na kupewa sifa tulizoziona?
 
Magawiwo yanyoendelea ni sehemu ya makubalino ya mezani kisiasa na hayatokani na hesabu za kihasibu. Unachochokonoa ni "tip of an iceberg"
Hii sio nzuri kwa shirika kiukweli kwenye vitabu vyao vya hesabu na utendaji kiujumla na hapa CAG anakuwa ameshapita??
 
Back
Top Bottom