Lukuvi ndani ya Kumekucha ITV

awaita ukawa wazushi. rasimu sio maoni ya mwisho ndiyo maana kuna kura ya maoni.

Kama wazushi mbona wanjikombakomba? Wapige kimya watuavhe na uzushi wetu wafanye yakwao sio kila siku hawaechi ukawa ukawa na mwaka huu watajibeba.
 
Yani serikali inawaza wapinzani tu badala ya kufanya vitu muhimu kwa taifa sasa waziri mzima anaalikwa kwenye kipindi anaongea umbea kama huo.si kujizalilisha kweli kama wanajifungia yeye kajuaje pointless kama hivi ni za kujizalilisha tu na kuonyesha upeo mdogo


Dr. Slaa kaishasema kuwa waraka unawataka kutumia vyombo vya habari katika kuzidi kupotosha wananchi sasa usishangae waziri kuzungumzia ukawa ndiyo waraka huo na nape anaukanusha wakati wenzake wanaufanyia kazi.
 
anasema hatuwezi kujadili maoni ya kuhusu idadi ya serikali ambapo ni watanzani wachache sana waliozungumzia maswala ya muundo wa serikali..

Anasema hata ukawa wasiporudi bungeni, waliobaki wanaweza kuendelea na mchakato wa kutunga katiba.


let them try then we shall see !!
 
Yani serikali inawaza wapinzani tu badala ya kufanya vitu muhimu kwa taifa sasa waziri mzima anaalikwa kwenye kipindi anaongea umbea kama huo.si kujizalilisha kweli kama wanajifungia yeye kajuaje pointless kama hivi ni za kujizalilisha tu na kuonyesha upeo mdogo
sawa kuongelea maedeleo ya nchi hii ni sawa lawa lakini inakuwa ni tabu sabu sana unapoanza kuogelea msitakabari wa nchi hii kabula huwapinga musasa akina lissu. mbowe.sillaa!
 
akizungumza na ITV muda huu, waziri wa nchi maswala ya bunge mh. William Lukuvi, amesema ndani ya bunge huwa kuna caucas mbalimbali za kivyama. Amesema wao kama chama tawala hujifungia kuzungumzia maendeleo ya taifa, na vyama vya upinzani hujifungia kupanga kuzomea na kuleta vurugu bungeni, pale serikali na chama tawala wanapoleta hoja nzito.

Nadhani nahitaji kujua akili za hawa viongozi tulionao..

is it fact????

Sikweli kwamba ccm hawajakubali serikali tatu. Tatizo wanaogopa nani aanze kujitokeza kukubali. Kwa kuona aibu ndo wanajifanya kama vile wako kwenye vacuum room hawasikii chochote kutoka taasisi mbalimbali zakidini nakiraia lakini siku katiba yao ikiktatiliwa na wananchi waturudi kutuambia serikali mbili ilikuwa ni uzushi wa JK kipindi hicho atakuwa Msoga anamalizia bata wamwishomwisho.
 
Lukuvi hafai hata kumzungumzia,afadhali hichokipindi sikukiangalia
 
anasema hatuwezi kujadili maoni ya kuhusu idadi ya serikali ambapo ni watanzani wachache sana waliozungumzia maswala ya muundo wa serikali..

Anasema hata ukawa wasiporudi bungeni, waliobaki wanaweza kuendelea na mchakato wa kutunga katiba.

Anaweweseka tu
 
Back
Top Bottom