Hakuna kurudi,kama huo muundo wa tume huru unawasumbua si waujadili wao? kwani wao si ndio wengi?awaomba ukawa warudi bungeni ili angalau wajadili muundo wa tume huru ya uchaguzi.
Hakuna kurudi,kama huo muundo wa tume huru unawasumbua si waujadili wao? kwani wao si ndio wengi?awaomba ukawa warudi bungeni ili angalau wajadili muundo wa tume huru ya uchaguzi.
Dr.slaa anaoa lini ? Nauliza tu
Dr.slaa anaoa lini ? Nauliza tu
Umepanic baada ya kuambiwa ukweli.Kamuulize Mama yako!
Umepanic baada ya kuambiwa ukweli.
Dr.slaa anaoa lini ? Nauliza tu
Dr.slaa anaoa lini ? Nauliza tu
Kwani wewe umeshaolewa? Nauliza tuDr.slaa anaoa lini ? Nauliza tu
Kwani wewe umeshaolewa? Nauliza tu
Dr.slaa anaoa lini ? Nauliza tu
awaita ukawa wazushi. rasimu sio maoni ya mwisho ndiyo maana kuna kura ya maoni.
Yani serikali inawaza wapinzani tu badala ya kufanya vitu muhimu kwa taifa sasa waziri mzima anaalikwa kwenye kipindi anaongea umbea kama huo.si kujizalilisha kweli kama wanajifungia yeye kajuaje pointless kama hivi ni za kujizalilisha tu na kuonyesha upeo mdogo
anasema hatuwezi kujadili maoni ya kuhusu idadi ya serikali ambapo ni watanzani wachache sana waliozungumzia maswala ya muundo wa serikali..
Anasema hata ukawa wasiporudi bungeni, waliobaki wanaweza kuendelea na mchakato wa kutunga katiba.
sawa kuongelea maedeleo ya nchi hii ni sawa lawa lakini inakuwa ni tabu sabu sana unapoanza kuogelea msitakabari wa nchi hii kabula huwapinga musasa akina lissu. mbowe.sillaa!Yani serikali inawaza wapinzani tu badala ya kufanya vitu muhimu kwa taifa sasa waziri mzima anaalikwa kwenye kipindi anaongea umbea kama huo.si kujizalilisha kweli kama wanajifungia yeye kajuaje pointless kama hivi ni za kujizalilisha tu na kuonyesha upeo mdogo
sawa kuongelea
maedeleo ya nchi hii ni sawa lawa lakini inakuwa ni tabu sabu sana
unapoanza kuogelea msitakabari wa nchi hii kabula huwapinga musasa akina
lissu. mbowe.sillaa!
akizungumza na ITV muda huu, waziri wa nchi maswala ya bunge mh. William Lukuvi, amesema ndani ya bunge huwa kuna caucas mbalimbali za kivyama. Amesema wao kama chama tawala hujifungia kuzungumzia maendeleo ya taifa, na vyama vya upinzani hujifungia kupanga kuzomea na kuleta vurugu bungeni, pale serikali na chama tawala wanapoleta hoja nzito.
Nadhani nahitaji kujua akili za hawa viongozi tulionao..
is it fact????
lugha yako ngumu kuielewa!
Anasema kupata theluthi mbili ya kura ya maoni si lazima ukawa wawepo bungeni.. hiyo inapatikana kwa maridhiano ndani ya bunge kwa waliopo.
anasema hatuwezi kujadili maoni ya kuhusu idadi ya serikali ambapo ni watanzani wachache sana waliozungumzia maswala ya muundo wa serikali..
Anasema hata ukawa wasiporudi bungeni, waliobaki wanaweza kuendelea na mchakato wa kutunga katiba.