Lukuvi ndani ya Kumekucha ITV

Lukuvi ndani ya Kumekucha ITV

Kama ukawa wanataka marekebisho ya sheria mbalimbali za uchaguzi kwa dharura, basi warudi bungeni tuyazungumze kupitia katiba mpya..

Wanachotaka Ukawa ni bmk kujadili rasimu ya katiba iliyokusanywa na jaji warioba na siyo ngonjera za magamba
 
Kama wazushi mbona wanjikombakomba? Wapige kimya watuavhe na uzushi wetu wafanye yakwao sio kila siku hawaechi ukawa ukawa na mwaka huu watajibeba.
Umewapasha vya kutosha hao magamba.
 
anasema hatuwezi kujadili maoni ya kuhusu idadi ya serikali ambapo ni watanzani wachache sana waliozungumzia maswala ya muundo wa serikali..

Anasema hata ukawa wasiporudi bungeni, waliobaki wanaweza kuendelea na mchakato wa kutunga katiba.
Ndugu wanajamvi naomba mnikumbushe
1.kikwete alichaguliwa na watanzania wangapi out of how many Tanzanians
2.Muundo huu wa selikari mbili tulionao sasa ulitolewa maoni na watanzania wangapi kwa ujumla wao out of what.
3.hayo maoni ya serikali mbili yanayotetewa na profesa Lukuvi na genge lake yalitolewa na watanzania wangapi na wapi?
4.sisim wapo wangapi out of 44 Tanzanians hapa watutungie katiba
 
Ndugu wanajamvi naomba mnikumbushe
1.kikwete alichaguliwa na watanzania wangapi out of how many Tanzanians
2.Muundo huu wa selikari mbili tulionao sasa ulitolewa maoni na watanzania wangapi kwa ujumla wao out of what.
3.hayo maoni ya serikali mbili yanayotetewa na profesa Lukuvi na genge lake yalitolewa na watanzania wangapi na wapi?
4.sisim wapo wangapi out of 44 Tanzanians hapa watutungie katiba

hayo ni maswali magumu ambayo ccm wanakwepa kuyajibu.
 
Back
Top Bottom