Kwa nini unaita uzi huo ni propaganda? Na kwasababu mi ndo mleta uzi nilitegemea yote yangeweza tokea so sita tumia lugha yoyote mbaya kwa watu kama wewe!
Mkuu unaweza ukakuta huyo unayebishana naye ndo mhusika mwenyewe. Wewe umeleta hoja inatosha, achana na hao wanaokuponda bila sababu.