DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,986
- 3,150
Habari wana JF wenzangu, natumai mnafurahia weekend ya leo.
Nianzae kwa kusema kwamba kwa muda mrefu tumekuwa namijadala mbalimbali juu ya uhalali wa elimu wanazodai kuwanazo baadhi ya viongozi wetu kwenye taifa hili, naninakumbuka kuna jamaa mmoja alijitokeza na kuwataja na kuandika kitabu juu yaufisadi wa elimu ila siku hizi wala hata sijui yuko wapi maana amekaa kimyasana!Hivi karibuni pia kumeibuka mjadara mkubwa sana juu ya elimu ya Naibu waziri wa elimu Philipo Mulugo na naibu katibu mkuu wa ccm Tanzania Bara Mwigulu Ncheba, na cha kushangaza watu wenye nyazifa zao kwenye nchi hii wanakaa kimya kwenye mambo makubwa kama haya bila hata kutolea ufafanuzi wakati unawaona wwako busy kuzungumzia simple issues inaleta wasiwasi sana juu yao!
Sasa basi ni katika swali hili nimejaribu kupitia CV ya Mh.Lukuvi, mtu atajiuliza kwa nini Lukuvi, ni kwa sababu ya michango yake bungeni na nje ya bunge ambayo binafsi nadhani inakaa kiushabiki zaidi kuliko uhalisia, na pia ikumbukwe kwamba "body language speaks more than the words themselves that some one articulates".Ukimsikiliza hasa kwenye hoja za wapinzani jaa ni too anti- opposition, kuliko kile wanachokisema au kuchangia.
Kwenye CV, yake mbali na kuandikwa kama vile mwandishi kamaliza form 4 juzi shule ya kata fulani, lakini pia inazua mjadala zaidi.
Kwa mfano, kwenye kipengela cha elimu yake kaonyesha hivi,http:School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level, lakini cha ajabu kunasehemu kaonyesha alianza lini lakini sehemu nyingine hajaonyesha wakati sehemu nyingine kaonyesha alimaliza lini lakini sehemu nyingine hajaonyesha? Swali ni je Mh. amesahau miaka yake aliyoanza masomo yake au kumaliza?
Pili, kwenye CV hiyohiyo anaonyesha kuwa amemaliza "Washington International University USA BA (Inter. Studies &Diplomacy) 2001 - GRADUATE" sasa hapa ndipo panapoibua maswali zaidi, nikatembelea kwenye mtandao "wikipedia", taarifa zilizopo kwenye mtandao huo ni kwamba chuo hicho hakitambuliki kwa ngazi yoyote na kinatoa shahada zake kwa kipindi cha mwaka mmoja na mwanafunzi anatakiwa asome masomo kumi kwa shahada ya kwanza na masomo nane kwa shahada ya uzamili (master degree), na taarifa zinaongeza kwamba chuo hakifuati mtaala wowote, hakuna mitihani wala vitabu vitumikavyo.
From Wikipedia, the free encyclopedia
"Washington International University is an unaccredited institution of higher education founded in 1994 and currently incorporated in the British Virgin Islands. It describes itself as a "university without borders," serving clients from around the world via distance education. The university website states that WIU's graduates have come from 112 countries.
The university has not sought educational accreditation[7] and does not have a campus. As of March 2010, the Oregon Office of Degree Authorization states on its website that WIU is located in the British Virgin Islands and that its degrees are not recognized.[8]
The accelerated degree program allows completion of any degree within one year. For the accelerated program, according to the university's website, "There are no textbooks to read, curriculum to follow or formal exams to take".
Washington International University - Wikipedia, the free encyclopedia.
Sasa kama hali ndo hii inaibua mjadala mzito juu ya taifa letu kwa ujumla, kwa mfano je watu kama Lukuvi unafikiri watakuwa na uchungu wa elimu ndani ya taifa hili kama elimu yao yenyewe ndo hii, naomba tujadili hili?
Na ikumbukwe CV yake inapatikana kwenye website ya bunge http:http://www.parliament.go.tz/bunge/mpcv.php?vpkey=5.
Nianzae kwa kusema kwamba kwa muda mrefu tumekuwa namijadala mbalimbali juu ya uhalali wa elimu wanazodai kuwanazo baadhi ya viongozi wetu kwenye taifa hili, naninakumbuka kuna jamaa mmoja alijitokeza na kuwataja na kuandika kitabu juu yaufisadi wa elimu ila siku hizi wala hata sijui yuko wapi maana amekaa kimyasana!Hivi karibuni pia kumeibuka mjadara mkubwa sana juu ya elimu ya Naibu waziri wa elimu Philipo Mulugo na naibu katibu mkuu wa ccm Tanzania Bara Mwigulu Ncheba, na cha kushangaza watu wenye nyazifa zao kwenye nchi hii wanakaa kimya kwenye mambo makubwa kama haya bila hata kutolea ufafanuzi wakati unawaona wwako busy kuzungumzia simple issues inaleta wasiwasi sana juu yao!
Sasa basi ni katika swali hili nimejaribu kupitia CV ya Mh.Lukuvi, mtu atajiuliza kwa nini Lukuvi, ni kwa sababu ya michango yake bungeni na nje ya bunge ambayo binafsi nadhani inakaa kiushabiki zaidi kuliko uhalisia, na pia ikumbukwe kwamba "body language speaks more than the words themselves that some one articulates".Ukimsikiliza hasa kwenye hoja za wapinzani jaa ni too anti- opposition, kuliko kile wanachokisema au kuchangia.
Kwenye CV, yake mbali na kuandikwa kama vile mwandishi kamaliza form 4 juzi shule ya kata fulani, lakini pia inazua mjadala zaidi.
Kwa mfano, kwenye kipengela cha elimu yake kaonyesha hivi,http:School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level, lakini cha ajabu kunasehemu kaonyesha alianza lini lakini sehemu nyingine hajaonyesha wakati sehemu nyingine kaonyesha alimaliza lini lakini sehemu nyingine hajaonyesha? Swali ni je Mh. amesahau miaka yake aliyoanza masomo yake au kumaliza?
Pili, kwenye CV hiyohiyo anaonyesha kuwa amemaliza "Washington International University USA BA (Inter. Studies &Diplomacy) 2001 - GRADUATE" sasa hapa ndipo panapoibua maswali zaidi, nikatembelea kwenye mtandao "wikipedia", taarifa zilizopo kwenye mtandao huo ni kwamba chuo hicho hakitambuliki kwa ngazi yoyote na kinatoa shahada zake kwa kipindi cha mwaka mmoja na mwanafunzi anatakiwa asome masomo kumi kwa shahada ya kwanza na masomo nane kwa shahada ya uzamili (master degree), na taarifa zinaongeza kwamba chuo hakifuati mtaala wowote, hakuna mitihani wala vitabu vitumikavyo.
From Wikipedia, the free encyclopedia
"Washington International University is an unaccredited institution of higher education founded in 1994 and currently incorporated in the British Virgin Islands. It describes itself as a "university without borders," serving clients from around the world via distance education. The university website states that WIU's graduates have come from 112 countries.
The university has not sought educational accreditation[7] and does not have a campus. As of March 2010, the Oregon Office of Degree Authorization states on its website that WIU is located in the British Virgin Islands and that its degrees are not recognized.[8]
The accelerated degree program allows completion of any degree within one year. For the accelerated program, according to the university's website, "There are no textbooks to read, curriculum to follow or formal exams to take".
Washington International University - Wikipedia, the free encyclopedia.
Sasa kama hali ndo hii inaibua mjadala mzito juu ya taifa letu kwa ujumla, kwa mfano je watu kama Lukuvi unafikiri watakuwa na uchungu wa elimu ndani ya taifa hili kama elimu yao yenyewe ndo hii, naomba tujadili hili?
Na ikumbukwe CV yake inapatikana kwenye website ya bunge http:http://www.parliament.go.tz/bunge/mpcv.php?vpkey=5.