Engare
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 289
- 69
Mi sitetei chochote ila mtoto akiongea mambo mazito ujue kayaskia kwa wazazi au walezi wake. Lukuvi aliamua kuonesha uzalendo wake na kujaribu kutoa awareness kwa raia wanaodanganywa danganywa tu kwa mgongo wa dini. Na Sheikh yuko sawa nae katoa ya moyoni na ikumbukwe kua asemaye ukweli ndo huonekana hovyo au mbaya. Naomba mtu anieleweshe why watu fulani fulani wanataka Zanzibar iachane na Tanganyika? Zipi ni sababu za msingi hasa?!!! Kesho Mombasa nao wataanza, Malindi Lamu na Malindi. Ni vyema watu waelezwe ukweli afu waamue sasa wanaamua nini.