Fweza ni kama shetani ukiwa nayo huwezi tukuka. Ni prf J huyo sio mimi.
Anastahili pongezi za dhati kabisa.
Safi sana Shekh.
Mwenzie Sheikh Jongo aliamua kulia hadharani- kuonesha jinsi fweza imemkolea!
Sheikh ameongea kwa busara sana. Waislamu wasitumiwe na hawa wanasiasa UCHWARA.
Shehe mkuu wa Dar es salaam amesema kuwa mheshimiwa lukuvi(miye simheshimu) anapaswa kupongezwa kwa kauli yake aliyoitoa kanisani mwezi uliopita,kuwa CUF inataka kuifanya zanzibar kuwa nchi ya kiislamu...huyu shehe ana akili timamu kweli?
Mwenzie Sheikh Jongo aliamua kulia hadharani- kuonesha jinsi fweza imemkolea!
Shehe mkuu wa Dar es salaam amesema kuwa mheshimiwa lukuvi(miye simheshimu) anapaswa kupongezwa kwa kauli yake aliyoitoa kanisani mwezi uliopita,kuwa CUF inataka kuifanya zanzibar kuwa nchi ya kiislamu...huyu shehe ana akili timamu kweli?
Shehe mkuu wa Dar es salaam amesema kuwa mheshimiwa lukuvi(miye simheshimu) anapaswa kupongezwa kwa kauli yake aliyoitoa kanisani mwezi uliopita,kuwa CUF inataka kuifanya zanzibar kuwa nchi ya kiislamu...huyu shehe ana akili timamu kweli?
Shehe mkuu wa Dar es salaam amesema kuwa mheshimiwa lukuvi(miye simheshimu) anapaswa kupongezwa kwa kauli yake aliyoitoa kanisani mwezi uliopita,kuwa CUF inataka kuifanya zanzibar kuwa nchi ya kiislamu...huyu shehe ana akili timamu kweli?