naninibaraka
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 910
- 668
Kwa mda sasa luhanjo amekuwa akitajwa tajwa sana kuwa amekuwa akifuja rasimali za nchi yetu kupitia wizara ya maliasili na utalii,na amekuwa mkabila kwa kujaza watu wake kwenye nafasi nyeti serikalini! Lile swala la mmoja wa wafanyakazi wa wizara ya maliasili kutimuliwa kwenye bunge la budget limeishia wap? Au ulikuwa usanii tu