Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,948
Ngumbaru ndiyo elimu yake jamaa yetuWe una elimu gani? Nadhani matatizo ya elimu uliyonayo ndio yanakufanya huelewi na baya zaidi huelewi kuwa huna elimu.
Ngumbaru ndiyo elimu yake jamaa yetuWe una elimu gani? Nadhani matatizo ya elimu uliyonayo ndio yanakufanya huelewi na baya zaidi huelewi kuwa huna elimu.
Huu ukaguzi sio "normal routine" kwa CAG bali ni specific kwa ajili ya tuhuma za kifisadi zilizotolewa Bungeni kwa hiyo CAG hawezi ku-declare inocense ya Jairo kabla ya kuanza ukaguzi wa hesabu! Kama CAG ataonekana kufuatilia tu "correctness of figures" basi hakuna haja ya kufanya ukaguzi! Tunataka tupate lengo hasa la kuchukua fedha nyingi kiasi hicho (TSh 1bn/-) ikitiliwa maanani kwamba kuna tuhuma za rushwa zilizotolewa kabla ya tukio la "Barua ya Shellukindo!" Suala jingine ni, Je, matumizi ya fedha hizo yalitokana na Bajeti ya Wizara? Kama hayakuwepo, Je, kulikuwa na authorization yoyote ya fund reallocation? Nionavyo mimi endapo CAG atakodolea tu makaratasi PCCB nao waendelee na uchanguzi wa tuhuma dhidi ya rushwa ili kubaini kama kuna hongo yoyote iliyotembea kwa wabunge au kama kuna vifungu vyovyote vya Sheria vilivyovunjwa!Kasafishwa kutoka katika tuhuma ya rushwa kuja kwenye finance audit ambayo ni ukaguzi wa accounts na kuangalia kama kuna kosa la kinidhamu alilolifanya, kama ikiwa hizo fedha alizo kusanya zitaonyeshwa vyema katika vitabu au kama ikiwa wanajuwa jinsi walivyozikusanya na kuwa hazionyeshi kasoro yoyote katika vitabu vya hizo taasisi basi hana kosa tena.
"...Jairo ambaye yuko chini yake, analazimika kwenda likizo kuanzia juzi ili kupisha uchunguzi wa awali ambao unalenga kubaini iwapo ametenda kosa la kinidhamu kwa mujibu wa sheria zinazoongoza Utumishi wa Mmma.(Philemon Luhanjo kwa mujibu wa nukuu ya Gazeti la Mwananchni)
Kwa mijibu wa hii kauli ya Luhanjo uchunguzi unaofanyika hauna haja na ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa sababu makosa aliyofanya Jairo yameshapindishwa na si ya rushwa tena na hamna uchunguzi wowote wa rushwa dhidi yake, hivyo kamsafisha na tuhuma za rushwa, wanachofanya sasa ni kumpaka mafuta tu!
Kwa mujibu wa Sheria Na.6 ya 2001 (Public Finance Act) hakuna kosa watakalo mkumba nalo Katibu Mkuu wa Wizara maana yeye ndio Accounting officer wa Wizara na fedha yote ya serikali katika wizara husika ipo chini yake, yeye ndiye mwenye VOTE ya ku-control fedha hizo na matumizi yake hivyo matumizi yeyoye atakayofanya ili mradi yawe na lisiti halali ni sahihi na haki; swali lililo baki hapo na wanalotaka kuja nalo ni kama hayo matumizi si halali au la! Ni kazi rahisi sana, kuwa na lisiti za soda na hotel walizolipa zenye gharama sawa na matumizi yaliyofanyika sidhani kama inawashinda hawa watu ambao hawana hata chembe ya aibu katika nyuso zao.
View attachment 34348
Wanacho angalia watu wa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa hesabu ni kile kinachoitwa "General accepted accounting practice" yaani kama matumizi yaliyofanyika yakitunzwa vyema ki-hasibu na gharama zake ni bei halali ya soko huo ndio utakao kuwa mwisho wao, swali kwanini hawaku institute uchunguzi wa tuhuma ya rushwa? badala yake Luhanjo anaenda mbali hadi kusema kosa la kinidhamu! Kusema kosa la kinidhamu tayari ni kumsafisa na makosa ya kijinai ambayo ni fraud na corruption.
Ushauri wangu kwa serikali, badala ya kupoteza fedha zaidi kumpaka mafuta Jairo, rais atangaze kuwa Jairo hana kosa na kuwa anampangia kazi nyinge maana haina jinsi yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu na Majeshi yote bado yana mtii na kumpigia Mizinga hasiwe na shaka apunguze matumizi yasiyo lazima katika uchunguzi ambao tayari wameshau elekeza katika dimbwi, awe wazi na atangaze maamuzi yake juu ya Jairo, Pia Pinda kwa mujibu wa maelezo yake bunge alisema Jairo ni wakufukuza tu, ila anamsubiri rais sasa asimamie maneno yake ajiuzulu kama kweli hana unafki katika maneno yake na matendo yake akae pembeni maana ukitofautiana mtazamo na mawazo kiasi cha kuoneka kama hivi ni bora kupisha hili husiwe sehemu ya usafi au uchafu huo unao upinga.
Mkuu unachanganya mambo, PM ana madaraka yake ya uendeshaji nchi anapokaimu shughuli za Mkuu wa nchi na hayana utata ingawa kuna mapungufu kwenye Katiba. Madaraka ya CS kwa Watumishi wa Umma hayana utata, suala ni PM na baadhi ya Wanasisa kujiona wana madaraka kwenye kila kitu jambo ambalo si kweli. Kuwa Kiongozi wa Shughuli za Serikali hakumaanishi kuwa na Uwezo wa kuwachukulia hatua Watumishi wa Umma bila kufuata Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wao.katiba ya tanzania inamapungufu makubwa , luhanjo anaongea kwa mamlaka makubwa kuliko waziri mkuu, wakati waziri mkuu ndio msimamizi mkuu wa serikali, raisi akisafiri na makamu wa raisi,waziri mkuu ndio anaendesha nchi kama sijakosea sasa hapo kuna mkanganyiko mkubwa wa madaraka
Arafat una haraka sana Mkuu,Jairo hajasafishwa kwa Rushwa na sina hakika ya kuwepo kwa tuhuma za Rushwa dhidi yake (labda utoe ushahidi wa yote mawili).Ukisoma barua yake na hata ya mtangulizi wake utabaini kwamba walikuwa wanatekeleza utaratibu ambao nathubutu kusema kuwa upo kwa Wizara nyingi wa kuchangia gharama za bajeti na hapo ndipo tunaelezwa kuwa kuna kupanda kwa posho ambazo zinawahusisha wajumbe wa Kamati mbalimbali za Bunge/Wizara. Suala hili lina pande mbili, kwa sehemu ya kwanza Tujiulize hapa kama ni halali kuchangia gharama hizo au wanafanya double payments? Je, fedha hizo zilifanya kazi gani? Ni jukumu la nani kufanya malipo hayo? Je, kuna ukiukwaji wowote wa Sheria katika jambo hilo? Majibu mazuri ya maswali hayo yatapatikana baada ya uchunguzi wa CAG.Sehemu ya pili itaanzia pale CAG atakapotoa ripoti yake na kuonesha kwamba malipo yalifanyika mara mbili kwa kazi moja ya kamati/safari za viongozi wa Wizara. Hapo ndipo TAKUKURU watakapoanza kazi yao na watakuwa na orodha ya beneficiaries wote.Tuwe na subira.Nazijuwa sheria za kazi kuliko unavyofikiria wewe, tupe sehemu inayokata kumchunga za tuhuma za rushwa!
Hivi ni lazima kila mtuhumiwa akutwe na kosa/hatia?Kasafishwa kutoka katika tuhuma ya rushwa kuja kwenye finance audit ambayo ni ukaguzi wa accounts na kuangalia kama kuna kosa la kinidhamu alilolifanya, kama ikiwa hizo fedha alizo kusanya zitaonyeshwa vyema katika vitabu au kama ikiwa wanajuwa jinsi walivyozikusanya na kuwa hazionyeshi kasoro yoyote katika vitabu vya hizo taasisi basi hana kosa tena.
Atawajibishwa ikithibitika kuwa amezivunja.Kuna kanuni na taratibu za utumishi wa umma,kwanini hazitumiki kumuwajiisha kama zimevunjwa?, huo uchunguzi ni wanini? au ndio ku-buy time kama ilivyo kawaida ili baadaye iishe kimyakimya? sheria msumeno kwa nini haukati mbele na nyuma..???
Huu ukaguzi sio "normal routine" kwa CAG bali ni specific kwa ajili ya tuhuma za kifisadi zilizotolewa Bungeni kwa hiyo CAG hawezi ku-declare inocense ya Jairo kabla ya kuanza ukaguzi wa hesabu! Kama CAG ataonekana kufuatilia tu "correctness of figures" basi hakuna haja ya kufanya ukaguzi! Tunataka tupate lengo hasa la kuchukua fedha nyingi kiasi hicho (TSh 1bn/-) ikitiliwa maanani kwamba kuna tuhuma za rushwa zilizotolewa kabla ya tukio la "Barua ya Shellukindo!" Suala jingine ni, Je, matumizi ya fedha hizo yalitokana na Bajeti ya Wizara? Kama hayakuwepo, Je, kulikuwa na authorization yoyote ya fund reallocation? Nionavyo mimi endapo CAG atakodolea tu makaratasi PCCB nao waendelee na uchanguzi wa tuhuma dhidi ya rushwa ili kubaini kama kuna hongo yoyote iliyotembea kwa wabunge au kama kuna vifungu vyovyote vya Sheria vilivyovunjwa!
Mkuu unachanganya mambo, PM ana madaraka yake ya uendeshaji nchi anapokaimu shughuli za Mkuu wa nchi na hayana utata ingawa kuna mapungufu kwenye Katiba. Madaraka ya CS kwa Watumishi wa Umma hayana utata, suala ni PM na baadhi ya Wanasisa kujiona wana madaraka kwenye kila kitu jambo ambalo si kweli. Kuwa Kiongozi wa Shughuli za Serikali hakumaanishi kuwa na Uwezo wa kuwachukulia hatua Watumishi wa Umma bila kufuata Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wao.
Arafat una haraka sana Mkuu,Jairo hajasafishwa kwa Rushwa na sina hakika ya kuwepo kwa tuhuma za Rushwa dhidi yake (labda utoe ushahidi wa yote mawili).Ukisoma barua yake na hata ya mtangulizi wake utabaini kwamba walikuwa wanatekeleza utaratibu ambao nathubutu kusema kuwa upo kwa Wizara nyingi wa kuchangia gharama za bajeti na hapo ndipo tunaelezwa kuwa kuna kupanda kwa posho ambazo zinawahusisha wajumbe wa Kamati mbalimbali za Bunge/Wizara. Suala hili lina pande mbili, kwa sehemu ya kwanza Tujiulize hapa kama ni halali kuchangia gharama hizo au wanafanya double payments? Je, fedha hizo zilifanya kazi gani? Ni jukumu la nani kufanya malipo hayo? Je, kuna ukiukwaji wowote wa Sheria katika jambo hilo? Majibu mazuri ya maswali hayo yatapatikana baada ya uchunguzi wa CAG.Sehemu ya pili itaanzia pale CAG atakapotoa ripoti yake na kuonesha kwamba malipo yalifanyika mara mbili kwa kazi moja ya kamati/safari za viongozi wa Wizara. Hapo ndipo TAKUKURU watakapoanza kazi yao na watakuwa na orodha ya beneficiaries wote.Tuwe na subira.
Kuna kanuni na taratibu za utumishi wa umma,kwanini hazitumiki kumuwajiisha kama zimevunjwa?, huo uchunguzi ni wanini? au ndio ku-buy time kama ilivyo kawaida ili baadaye iishe kimyakimya? sheria msumeno kwa nini haukati mbele na nyuma..???
Tusubiri kazi ya CAG kwanza.
Kama taratibu za utoaji wa fedha haukufuatwa, basi game itahamia upande wa pili, zilitumikaje na nani alipata mgao/posho na kwa sababu gani?
Aliyetoa na kupokea rushwa. . . . Part 3 ya game ianze.