kabon14
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 1,233
- 871
Habar wakuu, Nianze kw kumshukuru aliye toa wazo la kuunda lugha ya KISWAHILI.Binafsi huwa najiskia Furaha Sana nnapo itumia lugha hii tamu,iliyo jaa hekima na ukarimu.... Watu wanao itumia pia Ni wengi wa busara.....Leo nnapenda tucheze mchezo mmoja ili tuifurahie lugha yetu kwa ukarimu tulionao wanakiswahili..Mchezo uko hiv,unatakiwa uandike sentens itakayo mfrahsha aliye juu yako kutokana na maneno mazur aliyokuandikia,... Hakikisha sentens yako Ina anzia na irabu au silabi ya mwisho katka sentens ya juu yako..MFANO
....habar yako rafki yang,nnafrah Sana kkuona u mzma"
....mapenz niliyonayo juu yako hayaelezeki"
...Kila nikuonapo najawa Na furaha"
Karibuni wakuu tuifurahie lugha yetu.......
....habar yako rafki yang,nnafrah Sana kkuona u mzma"
....mapenz niliyonayo juu yako hayaelezeki"
...Kila nikuonapo najawa Na furaha"
Karibuni wakuu tuifurahie lugha yetu.......