Wachezaji wengi husema hivo kila wanapofika timu mpya ni kama wachezaji wa soka Tanzania, kila mechi inapoisha ukimpa Mic atoe maoni yake ataanza na: KWANZA NASHUKURU MUNGU.... kanakwamba hii salutation haiwezi kunenwa moyoni!
Dah! Kumbe nawewe umeliona hili? Si wachezaji si makocha akipewa mic lazima waanze hivyo najiulizaga kama kweli ni watu wa imani kwanini wasitamke kimoyomoyo? Ni kama kile kibwagizo cha "mpira una matokeo matatu" kinavyorudiwa rudiwa na kila aliyepoteza mechi
Dah! Kumbe nawewe umeliona hili? Si wachezaji si makocha akipewa mic lazima waanze hivyo najiulizaga kama kweli ni watu wa imani kwanini wasitamke kimoyomoyo? Ni kama kile kibwagizo cha "mpira una matokeo matatu" kinavyorudiwa rudiwa na kila aliyepoteza mechi