wana jf habari zenu,
Kuna tangazo linaoneshwaga chanel 5 linalosema" fupi tamu ndefu inakela" mimi nimeshindwa kabisa kumwelezea mtoto wangu hilo tangazo lina maanisha nini baada ya kuniuliza.
Sasa kama wenzangu mnajua nisaidieni.
Sisi tulioletewa dini ndiyo tunaojifanya tunazijua kuliko waliotuletea hizo dini.
Sisi tunaojifanya tunamaadili ni wachafu kuliko hao tunaosema hawana maadili (Wazungu).
Mnafiki ndiye atakayeona lugha iliyotumika kwenye hilo tangazo haifai.
C'est la vie.