Ludovick apata dhamana

DR. PHONE

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2012
Posts
504
Reaction score
91
Mtuhumiwa mwenza katika kesi ya kula njama ya kumdhuru mhariri wa Mwananchi inayomkabili Lwakatare ameachiwa huru kwa dhamana leo.
 
Muhutasari finyu nan kamdhamini? Masharti ya dhamana?
Yuko wapi na anaongea nini kuhusiana na kesi yake
 
Mtuhumiwa mwenza katika kesi ya kula njama ya kumdhuru mhariri wa Mwananchi inayomkabili Lwakatare ameachiwa huru kwa dhamana leo.

Mnaihusisha Chadema na makosa yaliofanywa na ccm ili iwasaidie nini?.
 
Tunataka jua kama ni Mwigulu nchema au nape? Leop ndio mnajua kuwa kuna ubinadamu?

Unataka kujua yuko wapi ili umfanye nini? Mbona nyie Bavicha mmekosa ubinadamu?
 
Afadhali kelele za jf ziliwafikia huko na kumtoa shame mabavicha
 
Tunataka jua kama ni Mwigulu nchema au nape? Leop ndio mnajua kuwa kuna ubinadamu?
Mnamsulubu Ludovic kwa kuwa ameshindwa kukamilisha dhamira yenu ya utekaji
 
Unataka kujua yuko wapi ili umfanye nini? Mbona nyie Bavicha mmekosa ubinadamu?

Mbona unajibu ugoro? Kama hamtaki kuulizwa kwanini mmeileta hii thread jamvini?
 
Hivi kumbe kesi yake cyo ya ugaidi tena? mali kwa mali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…