Eti Mwigulu ni Rafiki yangu.
Shame on you Msaliti Ludovick.
Tangu lini mwanga ukapatana na giza?
Ameogopa kuja huku kakimbilia huko mabadiliko. Nadhani hapakuwa na umuhimu wa hii habari kuileta huku. Kama anajiamini aje huku JF kuomba maswali.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imempa onyo Kali mshtakiwa namba mbili katika kesi ya kutaka kumdhuru kwa sumu mhariri wa gazeti la mwananchi.
Onyo hilo la hakimu wa mahakama hiyo limetolewa asubuhi hii kufuatia Ludovick kukaririwa jana akifanya mahojiano na vyombo vya habari kuhusiana na kesi yake.Pia Ludovick alienda mbali zaidi na kumzungumzia mshtakiwa mwenzake ambaye ni mkurugenzi wa Ulinzi CHADEMA Wilfred Lwakatare.
Mahakama imesema taarifa iliyotolewa na gazeti la Mtanzania la jana haikubaliki na ni kuingilia mwenendo wa kesi hiyo.
Hakimu ameonya endapo mshtakiwa huyo atarudia kosa hilo atakamatwa mara moja na kufutiwa dhamana yake na pia gazeti litakalohusika kufungiwa.
Ludovick Joseph alikaririwa na gazeti la Mtanzania akizungumzia undani wa kesi hiyo huku akionyesha kukisukumia lawama CHADEMA kwa kumtenga na kumuita msaliti.
Pia alionekana kumsafisha Naibu Katibu Mkuu wa CCM Mwigulu Nchemba kwa kusema ni mshirika wake na rafiki yake mkubwa ndiyo maana hata ilifikia kutumiwa fedha kwa njia ya Mpesa na kiongozi huyo wa chama tawala.
Molemo mkuu tunaomba post hii ianzishe kama thread inayojitegemea ili tuchangie kwa ufasaha kabisa. Kwa taarifa tu kuna a very close connection kati ya mhariri, ludo na yule kiongozi wa masalia. Kwa mantiki hii mhariri yuko kazini, anafanya kazi waliopangiwa!!Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imempa onyo Kali mshtakiwa namba mbili katika kesi ya kutaka kumdhuru kwa sumu mhariri wa gazeti la mwananchi.
Onyo hilo la hakimu wa mahakama hiyo limetolewa asubuhi hii kufuatia Ludovick kukaririwa jana akifanya mahojiano na vyombo vya habari kuhusiana na kesi yake.Pia Ludovick alienda mbali zaidi na kumzungumzia mshtakiwa mwenzake ambaye ni mkurugenzi wa Ulinzi CHADEMA Wilfred Lwakatare.
Mahakama imesema taarifa iliyotolewa na gazeti la Mtanzania la jana haikubaliki na ni kuingilia mwenendo wa kesi hiyo.
Hakimu ameonya endapo mshtakiwa huyo atarudia kosa hilo atakamatwa mara moja na kufutiwa dhamana yake na pia gazeti litakalohusika kufungiwa.
Ludovick Joseph alikaririwa na gazeti la Mtanzania akizungumzia undani wa kesi hiyo huku akionyesha kukisukumia lawama CHADEMA kwa kumtenga na kumuita msaliti.
Pia alionekana kumsafisha Naibu Katibu Mkuu wa CCM Mwigulu Nchemba kwa kusema ni mshirika wake na rafiki yake mkubwa ndiyo maana hata ilifikia kutumiwa fedha kwa njia ya Mpesa na kiongozi huyo wa chama tawala.
Khaa!! wewe vipi?? wenzenu wakitoka bungeni baada ya kupokea posho zao zilizonona wanakaa hata bila kujali itikadi za vyama vyao wanakula nyama choma pamoja. Halafu nyie mnaolipwa posho mbuzi ndiyo mnatoana macho kitaani kwa tofauti za kisiasa. Shame on you!!!Eti Mwigulu ni Rafiki yangu.
Shame on you Msaliti Ludovick.
Tangu lini mwanga ukapatana na giza?
aisee Ludovick,sijui atanifanyaje nimuelewe na kumwamini..naomba tu tuiachie mahakama kwa sasa because you can tell me nothing.