Hahaaahahaaaha tutakoma mwaka huu. I never expected Lucy to stoop this low!!!. Lucy mbona kuolewa kwako kumekufanya ujidhalilishe mno. Its as if umeolewa kutukomesha wakina sie. Embu tulia jamani, ndoa ni zaidi ya kuvaa shera na kuexchange wedding vows. Tulia na muombe Mungu aisimamie ndoa yako. Hivi siku ukiachika (God forbid) utaiweka wapi sura yako?? Please, just go back to your old-self. Ulikuwa unajiheshimu mno but now aaaah
Dinazarde, Mrembo by Nature, geniveros, Heaven on Earth, Madame B, Mamaafacebook, Heaven Sent, ram, matumbo, mamakibunju aya sasa kumekucha
Anaona amemaliza, wakati kesho haijui, pole yake!
Mmh hapana this is too much aisee. Naona alikuwa kapania kweli kuolewa ili tumkome
Na ndio kwanza hatumkomiii
Ndo maana watu wanamchamba sana, dada ana povu huyuuu utadhani kanywa Omo. Yani asingekuwa anaropoka hivi, watu wengi hata wasingemsema kuhusu alivyovaa n.k. But kwa anavyoropoka atachambwa tu zaidi. Ila me nikikumbuka ya kuzama na galaxy kwenye maji nakufa kuchekaaaaaaa
Hahaaahahaaaha tutakoma mwaka huu. I never expected Lucy to stoop this low!!!. Lucy mbona kuolewa kwako kumekufanya ujidhalilishe mno. Its as if umeolewa kutukomesha wakina sie. Embu tulia jamani, ndoa ni zaidi ya kuvaa shera na kuexchange wedding vows. Tulia na muombe Mungu aisimamie ndoa yako. Hivi siku ukiachika (God forbid) utaiweka wapi sura yako?? Please, just go back to your old-self. Ulikuwa unajiheshimu mno but now aaaah
Mmh hapana this is too much aisee. Naona alikuwa kapania kweli kuolewa ili tumkome
Atulie na huyo maana wote wanafanana. Wamekaa kicomedian... Sura zimejichokeaaa hadi huruma