keteka
Senior Member
- May 12, 2013
- 149
- 52
Mh.Wasira alihudhuria kikao hicho cha wazee na kupa nafasi Mh.Dkt.Webiro kuwa kiongozi wa ukoo kwa watu wa Bunda , na kila wakati zilisikika nyimbo za asili eka ibukile wibeze Mh.Webira eka yetu maana yake huyu ni simba kaeni mbali acha ongoze ni wetu na ni wa kwetu Mungu msaidie.
Webiro ni chaguo la Bunda Mjini, tunamhitaji na tunamuamini anaweza kutusaidia, usiogope tutashinda kazi kwetu wanabunda.
Webiro ni chaguo la Bunda Mjini, tunamhitaji na tunamuamini anaweza kutusaidia, usiogope tutashinda kazi kwetu wanabunda.