mzee mpuuzi sana yule...ameshirikiana na jk katika mambo mengi ya hovyo sana..na ni huyu huyu aliyesababisha mkuu wa majeshi mwamunyange aondoke bila kuaga na hakujulikana aliko baada ya huyu mzee kufanya mambo ya hovyo na jk kuyakubali kama yalivyo.....
mzee mpuuzi sana yule...ameshirikiana na jk katika mambo mengi ya hovyo sana..na ni huyu huyu aliyesababisha mkuu wa majeshi mwamunyange aondoke bila kuaga na hakujulikana aliko baada ya huyu mzee kufanya mambo ya hovyo na jk kuyakubali kama yalivyo.....
Bora astaafu tu huyu fisadi papa na pia alikuwa ni mdini sana. Rest in everlasting fire Shimbo !
kwa miaka 60 aliyonayo trilioni 4 unadhani zitaisha kesho?mpaka anakufa hatojua kama kuna marupurupu ya kustaafuMwenzake Mkapa analia Wastaafu wamesahauliwa! Ngoja sasa na yeye aende huko akaonje joto ya jiwe. Kama Mkapa analia, sembuse yeye?
TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),
tumbiri@jamiiforums.com
Nilichokisema ni fact, nikupe evidence kuhusu udini wa Shimbo?Acha udini.yeyote anayetazama mambo kidini, naye ni mdini tu.
Mwenzake Mkapa analia Wastaafu wamesahauliwa! Ngoja sasa na yeye aende huko akaonje joto ya jiwe. Kama Mkapa analia, sembuse yeye?
TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),
tumbiri@jamiiforums.com
Kwanza arudishe hela alizowadhulumu wanajeshi wetu Darfur.
Mkuu Ametumikia Chama Vizuri Haaa!!Mzee wa Tril 4 anakwenda kugombea ubunge sasa....maana ana kila sababu ya kugombea ubunge ,pesa,kadi,na wajibu anao....ametumikia sana chama vile vile!na pia ni mwenzao!!
Mkuu Anarudishaje ? Wakati Huo Ndiyo Mwendokasi Kwa Chama KileArudishe pessa ya wandava wenzie na nyingine km alituibia na sie arudishe
Chama Kile Na Shimbo Wako Vemaactually aliomba tena aongezwe muda wa utumishi lakini umri ushagoma na pia kashfa za ufisadi zimemuharibia sana....,
HaaaSa$a ni Balozi! Wizi mtupu
Aisee!Zileni pesa za jk mwenyewe,shimbo anamuhifadhia
Inatisha