Lowassa you are so strategic, watakuelewa tu

Lowassa you are so strategic, watakuelewa tu

General Mangi

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
15,316
Reaction score
23,186
Ama kweli Lowassa kaitendea haki dgree yake ya sanaa aliyoipata UDSM,
Embu fuatilia hii.....
1. Lowassa akikatwa tunamkaribisha ACT lakini lazima atangaze mali zake kwanza---ZITTO KABWE

2. CUF tutampokea Lowassa akihama CCM,--

3. CHADEMA, tunamkaribisha Lowassa--MBOWE

4.
CHADEMA ni kama kanisa, hakataliwi mtu, tunahubiri habari njema ya wokovu, ukija hapa unatubu unaendelea kufanya kazi--MSIGWA

5. Iwapo Lowassa atahamia
CHADEMA anakaribishwa na huenda akaitimiza safari yake ya matumaini.--LEMA

6. Tunamkaribisha kwa mikono miwili-LUCY OWENYA-CDM

7. Anatakiwa afuate taratibu za chama, milango ipo huru, lakini afuate kanuni… asije akafikiri ataleta taratibu zake hapa, sitakubali--SILINDE

8. Kama watu wanahama vyama vingine yeye ni nani asihame CCM?"--SUZAN LYMO-
CHADEMA

9. Nitazungumza pale mambo yatakapokuwa sawa, siwezi kuzungumza sasa, subirini--SLAA

MSISHANGAE NA KESHO MBATIA AKATOA KAULI YA KUUMTAKA LOWASSA, ILIMRADI TUU KUONESHA JAMAA ANAKUBALIKA HADI KWA WAPINZANI.

BAADA YA HAPO SAFARI YA MATUMAINI ITAANZIA CHADEMA...


LOWASSA YOU ARE SO STRATEGIC
 
Hatuwezi kuwa na nchi ambayo, wananch wanalalamika, watumishi wa umma wanalalamika, wabunge wanalalamika, mawaziri wanalalamika hata Rais analalamika, tunaitaji kiongozi mwema maamuzi magumu. Lowassa!
 
kwa hiyo tufanyaje


njoo kwa safari ya matumaini...

Edward+Lowasa6.jpg
 
Mkuu,kwa chadema naona kafika mahali penyewe kwani ni miongoni mwa vyama vinavyopenda sana maigizo.
 
Dah! Yaani! Hivi haya mafuriko hayaishi tu.Mbona nape amesema wameshayazuia kwa mkono.
 
Edward Sambai

CHADEMA hawana Agenda wanayosimamia-hata Mafisad kama wanawasaidia kupata ulaji wao ni sawa kwsbb wao ni masilah tu na ndio maana miaka 20 na kupewa ruzuku hawana Ofisi yoyote nchini
 
Last edited by a moderator:
Ama kweli Lowassa kaitendea haki dgree yake ya sanaa aliyoipata UDSM,
Embu fuatilia hii.....
1. Lowassa akikatwa tunamkaribisha ACT lakini lazima atangaze mali zake kwanza---ZITTO KABWE

2. CUF tutampokea Lowassa akihama CCM,--

3. CHADEMA, tunamkaribisha Lowassa--MBOWE

4.
CHADEMA ni kama kanisa, hakataliwi mtu, tunahubiri habari njema ya wokovu, ukija hapa unatubu unaendelea kufanya kazi--MSIGWA

5. Iwapo Lowassa atahamia
CHADEMA anakaribishwa na huenda akaitimiza safari yake ya matumaini.--LEMA

6. Tunamkaribisha kwa mikono miwili-LUCY OWENYA-CDM

7. Anatakiwa afuate taratibu za chama, milango ipo huru, lakini afuate kanuni… asije akafikiri ataleta taratibu zake hapa, sitakubali--SILINDE

8. Kama watu wanahama vyama vingine yeye ni nani asihame CCM?”--SUZAN LYMO-
CHADEMA

9. Nitazungumza pale mambo yatakapokuwa sawa, siwezi kuzungumza sasa, subirini--SLAA

MSISHANGAE NA KESHO MBATIA AKATOA KAULI YA KUUMTAKA LOWASSA, ILIMRADI TUU KUONESHA JAMAA ANAKUBALIKA HADI KWA WAPINZANI.

BAADA YA HAPO SAFARI YA MATUMAINI ITAANZIA CHADEMA...


LOWASSA YOU ARE SO STRATEGIC


umemsahau lema mkurupukaji,-nae amesema tunamkalibisha cdm maana tunamjua vizuri amerudi nyumbani,

 
Hhhhh, pori tricks bhana!!! Haya, yetu sie macho. Ila ukawa ikikosea mahesabu maccm yataendelea kutuburuza mpaka kufa.
 
Edward Sambai

CHADEMA hawana Agenda wanayosimamia-hata Mafisad kama wanawasaidia kupata ulaji wao ni sawa kwsbb wao ni masilah tu na ndio maana miaka 20 na kupewa ruzuku hawana Ofisi yoyote nchini

Inaelekea wewe unafikiri kwa makamasi
ccm baada ya mfumo wa vyama vingi wamejenga ofis gani kwa kutumia ruzuku na ruzuku yako ni Mara tano ya chadema
tuwe wakweli viwanja vyote na majengo yote yanayomilikiwa na ccm tulichangishwa kwa nguvu
 
Last edited by a moderator:
Vyama vyote vikuu Tanzania vya upinzani vinakaribia kufa!Na ikibidi vitapoteza kabisa mvuto kwa ujumla wake
 
Shost umenena, kwa hiyo kifupi ni kuwa lowassa anakubalika cdm, duh! Kweli hatuna upinzani ulio na maslahi ya nchi ila political ambitions tuu
 
Maana yake hapa vyama vinao mtaka huyu jamaa nia yao ni kuingia mjumba hata kama vitakuwa na mtaji wa jambazi ( mradi ana mtaji) ili mradi tu awaingize ikulu! Kwa hiyo ikulu shida ni kupaingia hata kwa kufadhiliwa au kusindikizwa na mafia!
Nimani watanzania wameamka hawatadanganywa na watu wa ina hii wenye nis ovu
 
tumechoka na hizi habari za lowasa. muacheni mzee wa watu apumzike. da!

Ama kweli Lowassa kaitendea haki dgree yake ya sanaa aliyoipata UDSM,
Embu fuatilia hii.....
1. Lowassa akikatwa tunamkaribisha ACT lakini lazima atangaze mali zake kwanza---ZITTO KABWE

2. CUF tutampokea Lowassa akihama CCM,--

3. CHADEMA, tunamkaribisha Lowassa--MBOWE

4.
CHADEMA ni kama kanisa, hakataliwi mtu, tunahubiri habari njema ya wokovu, ukija hapa unatubu unaendelea kufanya kazi--MSIGWA

5. Iwapo Lowassa atahamia
CHADEMA anakaribishwa na huenda akaitimiza safari yake ya matumaini.--LEMA

6. Tunamkaribisha kwa mikono miwili-LUCY OWENYA-CDM

7. Anatakiwa afuate taratibu za chama, milango ipo huru, lakini afuate kanuni… asije akafikiri ataleta taratibu zake hapa, sitakubali--SILINDE

8. Kama watu wanahama vyama vingine yeye ni nani asihame CCM?"--SUZAN LYMO-
CHADEMA

9. Nitazungumza pale mambo yatakapokuwa sawa, siwezi kuzungumza sasa, subirini--SLAA

MSISHANGAE NA KESHO MBATIA AKATOA KAULI YA KUUMTAKA LOWASSA, ILIMRADI TUU KUONESHA JAMAA ANAKUBALIKA HADI KWA WAPINZANI.

BAADA YA HAPO SAFARI YA MATUMAINI ITAANZIA CHADEMA...


LOWASSA YOU ARE SO STRATEGIC
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom