mchuziwanyoka
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 374
- 30
mwaka huu watateseka sana hawa ukiwa
Inaelekea wewe unafikiri kwa makamasi
ccm baada ya mfumo wa vyama vingi wamejenga ofis gani kwa kutumia ruzuku na ruzuku yako ni Mara tano ya chadema
tuwe wakweli viwanja vyote na majengo yote yanayomilikiwa na ccm tulichangishwa kwa nguvu