Lowassa will win a landslide

Lowassa will win a landslide

Status
Not open for further replies.
watu wanahasira mno..kweli watu wamebadilika kwa ripoti nliyopata hakuna mtu anaenda kumpigia kura magufuli wala ccm. sioni ccm itashinda vipi. vijana kachicheni haya majizi ccm na matoto yao

Aliyekupa ripoti atakua ameshtua kiroba kidogo.
 
Nipo nakunywa juisi ya pilipili hapa najiandaa kwenda kulipa ada ya wadogo zangu
 
Ukapimwe akili..hata leo unapiga propaganda?subiri matokeo yatoke kijana..kuna watu humu hamjui maana ya uchaguzi wa viongozi kupigiwa kura na wananchi..mtakufa kwa pressure...kama ni mpira,sasa hv ndo dakika ya pili tu ya mchezo,subiria dk 88 ziishe..then urudi hapa uone tathmin zako hizo zitakavyokuwa..ooh Lowasa Rais,Lowasa Mafuriko,Lowasa Mabadiliko,Lowasa anakubalika na vijana wengi,Lowasa nyenyenyeeee...leo ndo majibu na ukweli wa hayo utayapata...mamaeeeeeeee
Wewe inawezekana hata shahada hauna kwa sisi tulio kwenye foreni ya kupiga kura hali halisi ndio hiyo kila mtu ni Lowassa.
 
I prove you wrong. Landslide win ni nafsi yako cyo yangu mbona namchinja tu
 
Woyoooo naenda kuchinjaaaa kuanzia ng'ombe ,mbuzi na kuku ,
 
Kwa uku nilipo mim , vijana wamejaa vituon hii inaanisha there is big expectation on lowasa majority
 
Lowassa, supported by milions of youths is going to win this election by a huge margin, I predict 70+ percent.

The turnout is massive and 80% on queues are young boys and girls of the youth group.

Now I understand why there's panic on Ccm camp.

Let's do what Lowassa told us: 'cast as many votes as you can that even if they rig, they will reach a point where they will be exhausted'

The message from the youths is clear: changes.


Lowassa is our next president of The United Republic.

Akipata over 30% njo nikupe tigo!!!!
 
Lowassa atashinda uchaguzi huu bila shids,kwa yanayoendelea kwenye foleni huko hautaji miwani kulijua hili
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom