Lowassa wapambe wako wanazidi kukuharibia badala ya kukusaidia

Lowassa wapambe wako wanazidi kukuharibia badala ya kukusaidia

Ninaona utakuwa umeathirika na push up za mpiga push up,ni wapi Sumaye aliposema kuwa kwa kipindi cha miaka 54 CCM hawajafanya kitu chochote?.

Mbona Sumaye siku alipokuwa ana hojiwa na Tido Muhando kupitia AZAM TV alisema kuwa katika kipindi chake cha uwaziri mkuu walijenga shule za msingi,secondary za kata,barabara za lami,uwanja mkuu wa Taifa n.k,Sumaye alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa katika utawala wake Lowassa ndiye aliyesimamia mradi wa usambazaji wa maji wa ziwa victoria.

Hiyo LINAMO toka msituni Msumbiji kwa Waasi kaamua kajitoa fahamu kaamua kukariri kile alicholishwa na Nape na akina Makonda na wenzake maadui wa Lowasa sasa anajiandikia vitu pasipo kutambua kuwa Watanzania wa sasa wapo makini wanafuatilia kila jambo na wamejaa kumbukumbu huku wakiweka mabadiliko mbele zaidi.
 
Huu ni ukweli usiopingika kuwa wapambe wa Lowassa aliotoka nao CCM wanao mnadi jukwaani ndiyo wanaozidi kummaliza badala ya kumsaidia.
Sumaye amekuwa akisema serikali ya CCM haijafanya chochote kwa miaka 54 ya Uhuru wakati huo huo wanasahau yeye na huyo Lowassa wake walikuwa sehemu ya serikali hiyo wanayosema haijafanya chochote kwa miaka 13.

Wanasahau ndani ya miaka kumi ambayo Sumaye alikuwa waziri mkuu yeye ndiyo alikuwa mtendaji mkuu wa shughuli za maendeleo za serikali kwa hiyo anaposema haijafanya chochote bila shaka alihusika kukwamisha baadhi ya maendeleo kwa miaka kumi.

Na hivyo hivyo kwa Edo. Kazi waliyompa Sumaye ya kumnadi hasimu wake mkubwa Edo ni kuzidi kumdidimiza Edo huenda akijua maana alishakaririwa akisema kuwa na yeye ni moja ya wagombea kupitia CHADEMA hivyo hatuwezi kujua mkakati wake ni upi juu ya Edo.

My take; CHADEMA asilia kama mko serious kuwa mnaitaka nchi japo hamuwezi kuipata hata kama CCMwakilala wasipopiga kampeni? Amkeni mumnadi huyu Mzee maana Sumaye anammaliza na si kumsaidia.Japo nyuso zinawasuta lakini jikazeni tu hivyo hivyo no way out.

Hoja tu matusi hayaruhusiwi.

Nawasilisha.

Funga bakuli. Limbukeni wewe. Pilipili usiyoila
 
Ikifika 25 October ndiyo mtajua namaanisha nini. Sahivi jifarijini kwanza no wonder Mr zero amekuja kuongoza kama alivyosema Kuwa hamna watu wenye sifa za kuongoza.


Ulianza vizuri kwa mada yako, lakini sasa unajipambanua kwa mapenzi yako ya chama tawala. Siku zimebaki chache, kama unakipenda sana chama cha mapinduzi...kwa muda huu mchache waelezee watanzania ni nini tofauti mtakifanya tukiwapa ridhaa yetu..tofauti na miaka yote iliyopta. May be tuanze na huu mgao wa umeme. Name calling inazidi kuwapotezea muda...
 
Huu ni ukweli usiopingika kuwa wapambe wa Lowassa aliotoka nao CCM wanao mnadi jukwaani ndiyo wanaozidi kummaliza badala ya kumsaidia.
Sumaye amekuwa akisema serikali ya CCM haijafanya chochote kwa miaka 54 ya Uhuru wakati huo huo wanasahau yeye na huyo Lowassa wake walikuwa sehemu ya serikali hiyo wanayosema haijafanya chochote kwa miaka 13.

Wanasahau ndani ya miaka kumi ambayo Sumaye alikuwa waziri mkuu yeye ndiyo alikuwa mtendaji mkuu wa shughuli za maendeleo za serikali kwa hiyo anaposema haijafanya chochote bila shaka alihusika kukwamisha baadhi ya maendeleo kwa miaka kumi.

Na hivyo hivyo kwa Edo. Kazi waliyompa Sumaye ya kumnadi hasimu wake mkubwa Edo ni kuzidi kumdidimiza Edo huenda akijua maana alishakaririwa akisema kuwa na yeye ni moja ya wagombea kupitia CHADEMA hivyo hatuwezi kujua mkakati wake ni upi juu ya Edo.

My take; CHADEMA asilia kama mko serious kuwa mnaitaka nchi japo hamuwezi kuipata hata kama CCMwakilala wasipopiga kampeni? Amkeni mumnadi huyu Mzee maana Sumaye anammaliza na si kumsaidia.Japo nyuso zinawasuta lakini jikazeni tu hivyo hivyo no way out.

Hoja tu matusi hayaruhusiwi.

Nawasilisha.

BInafsi naomba nenda kajipange tena ndipo uje na hoja ya kueleweka.

Hapa hueleweki. Ukisema hivyo ina maana hata Magufuli naye hafai kwani yupo ndani ya Serikali miaka mingi na hakuna cha maana. Ukimkataa LOWASA na SUMAYE inabidi tupe mbadala tumchague ambaye hakuwepo ndani ya Serikali. Yaani CCM na UKAWA tusiichague.

Tunakataa mfumo wa CCM wa kuleana. Mtu anafanya kosa anabadilishwa nafasi ya uongozi badala ya kuwajibika. Waanze na kuwawajibisha wote waliohusika na makosa ya kudidimiza Uchumi wetu. Mfano akina EPA, KAGODA, RICHMOND, MEREMETA na wengineo ndipo tutakuelewa. Vinginevyo umecheza PATA POTEA Kajipange tena.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Huu ni ukweli usiopingika kuwa wapambe wa Lowassa aliotoka nao CCM wanao mnadi jukwaani ndiyo wanaozidi kummaliza badala ya kumsaidia.
Sumaye amekuwa akisema serikali ya CCM haijafanya chochote kwa miaka 54 ya Uhuru wakati huo huo wanasahau yeye na huyo Lowassa wake walikuwa sehemu ya serikali hiyo wanayosema haijafanya chochote kwa miaka 13.

Wanasahau ndani ya miaka kumi ambayo Sumaye alikuwa waziri mkuu yeye ndiyo alikuwa mtendaji mkuu wa shughuli za maendeleo za serikali kwa hiyo anaposema haijafanya chochote bila shaka alihusika kukwamisha baadhi ya maendeleo kwa miaka kumi.

Na hivyo hivyo kwa Edo. Kazi waliyompa Sumaye ya kumnadi hasimu wake mkubwa Edo ni kuzidi kumdidimiza Edo huenda akijua maana alishakaririwa akisema kuwa na yeye ni moja ya wagombea kupitia CHADEMA hivyo hatuwezi kujua mkakati wake ni upi juu ya Edo.

My take; CHADEMA asilia kama mko serious kuwa mnaitaka nchi japo hamuwezi kuipata hata kama CCMwakilala wasipopiga kampeni? Amkeni mumnadi huyu Mzee maana Sumaye anammaliza na si kumsaidia.Japo nyuso zinawasuta lakini jikazeni tu hivyo hivyo no way out.

Hoja tu matusi hayaruhusiwi.

Nawasilisha.
Dada hebu tuambie ni bora Sumaye anayemharibu Lowasa kuliko CCM inavyomchafua Magufuli, Magufuli anajiaibisha saana, msomi mzima anatoa ahadi ambazo haziwezekani hata kwa miaka 100 ijayo, wewe unasema utatoa mil 50 kwa kila kijiji, Tanzania ina vijiji vingapi? Na hiyo pesa wataitoaje? Acha kuruhusu CCM wakacheza na ubongo zenu kuwahaadaa otherwise na wewe ndo wale bila CCM maisha mkono hauendi kinywani.

Escrow,EPA, nk dada huzioni wewe unamjadili Sumaye Lowasa?, Anza kutuelezea ilani ya chama na jinsi mtakavyoitekeleza na acha kuwasema watu hawatakusaidia hata
 
Huu ni ukweli usiopingika kuwa wapambe wa Lowassa aliotoka nao CCM wanao mnadi jukwaani ndiyo wanaozidi kummaliza badala ya kumsaidia.
Sumaye amekuwa akisema serikali ya CCM haijafanya chochote kwa miaka 54 ya Uhuru wakati huo huo wanasahau yeye na huyo Lowassa wake walikuwa sehemu ya serikali hiyo wanayosema haijafanya chochote kwa miaka 13.

Wanasahau ndani ya miaka kumi ambayo Sumaye alikuwa waziri mkuu yeye ndiyo alikuwa mtendaji mkuu wa shughuli za maendeleo za serikali kwa hiyo anaposema haijafanya chochote bila shaka alihusika kukwamisha baadhi ya maendeleo kwa miaka kumi.

Na hivyo hivyo kwa Edo. Kazi waliyompa Sumaye ya kumnadi hasimu wake mkubwa Edo ni kuzidi kumdidimiza Edo huenda akijua maana alishakaririwa akisema kuwa na yeye ni moja ya wagombea kupitia CHADEMA hivyo hatuwezi kujua mkakati wake ni upi juu ya Edo.

My take; CHADEMA asilia kama mko serious kuwa mnaitaka nchi japo hamuwezi kuipata hata kama CCMwakilala wasipopiga kampeni? Amkeni mumnadi huyu Mzee maana Sumaye anammaliza na si kumsaidia.Japo nyuso zinawasuta lakini jikazeni tu hivyo hivyo no way out.

Hoja tu matusi hayaruhusiwi.

Nawasilisha.

Bado siku 18 jiandae kupiga kura... Haya kwa sasa hayasaidii
 
Hizi ndiyo akili za timu lowassa. Ushawahi kupima kiwango cha ujinga wako?

We punguani kweli, umetoa post yako kilichofuata ni kutukana tu kwa kila anayekujibu, Looh!
 
Akina nampe na matusi hawmuharibii magufuli? Mbona waona na kuhangaikia kibanzi ndani ya jicho la nduguyo angali unaboliti jichoni mwako? Try to trike a balance mama while you are hiding bihind your device keyboard!
 
Ulianza vizuri kwa mada yako, lakini sasa unajipambanua kwa mapenzi yako ya chama tawala. Siku zimebaki chache, kama unakipenda sana chama cha mapinduzi...kwa muda huu mchache waelezee watanzania ni nini tofauti mtakifanya tukiwapa ridhaa yetu..tofauti na miaka yote iliyopta. May be tuanze na huu mgao wa umeme. Name calling inazidi kuwapotezea muda...

Ulitaka niandike kitakacho kufurahisha wewe na huyo fisadi wako???
 
Back
Top Bottom