Lowassa wapambe wako wanazidi kukuharibia badala ya kukusaidia

Lowassa wapambe wako wanazidi kukuharibia badala ya kukusaidia

Linamo

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
9,976
Reaction score
24,498
Huu ni ukweli usiopingika kuwa wapambe wa Lowassa aliotoka nao CCM wanao mnadi jukwaani ndiyo wanaozidi kummaliza badala ya kumsaidia.
Sumaye amekuwa akisema serikali ya CCM haijafanya chochote kwa miaka 54 ya Uhuru wakati huo huo wanasahau yeye na huyo Lowassa wake walikuwa sehemu ya serikali hiyo wanayosema haijafanya chochote kwa miaka 13.

Wanasahau ndani ya miaka kumi ambayo Sumaye alikuwa waziri mkuu yeye ndiyo alikuwa mtendaji mkuu wa shughuli za maendeleo za serikali kwa hiyo anaposema haijafanya chochote bila shaka alihusika kukwamisha baadhi ya maendeleo kwa miaka kumi.

Na hivyo hivyo kwa Edo. Kazi waliyompa Sumaye ya kumnadi hasimu wake mkubwa Edo ni kuzidi kumdidimiza Edo huenda akijua maana alishakaririwa akisema kuwa na yeye ni moja ya wagombea kupitia CHADEMA hivyo hatuwezi kujua mkakati wake ni upi juu ya Edo.

My take; CHADEMA asilia kama mko serious kuwa mnaitaka nchi japo hamuwezi kuipata hata kama CCMwakilala wasipopiga kampeni? Amkeni mumnadi huyu Mzee maana Sumaye anammaliza na si kumsaidia.Japo nyuso zinawasuta lakini jikazeni tu hivyo hivyo no way out.

Hoja tu matusi hayaruhusiwi.

Nawasilisha.
 
Naona sindano za mzee mzima Sumaye zimegusa hadi katikati ya mifupa.
Kwa bandiko lako hili ni dhahiri wewe ni mchumia tumbo,unadhani huo ushauri wako wa kijinga nani aufuate?
Tokea lini adui akamsifia adui yake?
Ni dhahiri kuwa Sumaye anawanyima usingizi,na bado.
 
RUBBISH!!
TUNAMUHITAJI LOWASSA KWA NAMNA YOYOTE ILE WHEATHER NI MZURI AU MBAYA KWA SABABU WATANZANIA KWA MWAKA HUU ""TUNACHAGUA MABADILIKO"""

ii
 
Huu ni ukweli usiopingika kuwa wapambe wa Lowassa aliotoka nao CCM wanao mnadi jukwaani ndiyo wanaozidi kummaliza badala ya kumsaidia.
Sumaye amekuwa akisema serikali ya CCM haijafanya chochote kwa miaka 54 ya Uhuru wakati huo huo wanasahau yeye na huyo Lowassa wake walikuwa sehemu ya serikali hiyo wanayosema haijafanya chochote kwa miaka 13.

Wanasahau ndani ya miaka kumi ambayo Sumaye alikuwa waziri mkuu yeye ndiyo alikuwa mtendaji mkuu wa shughuli za maendeleo za serikali kwa hiyo anaposema haijafanya chochote bila shaka alihusika kukwamisha baadhi ya maendeleo kwa miaka kumi.

Na hivyo hivyo kwa Edo. Kazi waliyompa Sumaye ya kumnadi hasimu wake mkubwa Edo ni kuzidi kumdidimiza Edo huenda akijua maana alishakaririwa akisema kuwa na yeye ni moja ya wagombea kupitia CHADEMA hivyo hatuwezi kujua mkakati wake ni upi juu ya Edo.

My take; CHADEMA asilia kama mko serious kuwa mnaitaka nchi japo hamuwezi kuipata hata kama CCMwakilala wasipopiga kampeni? Amkeni mumnadi huyu Mzee maana Sumaye anammaliza na si kumsaidia.Japo nyuso zinawasuta lakini jikazeni tu hivyo hivyo no way out.

Hoja tu matusi hayaruhusiwi.

Nawasilisha.

Mabadiliko hayaepukiki sasa taa ya kijani imewaka ukawa wanaelekea ikulu njia nyeupe, nyie endeleeni kuzitafuna pesa za Membe kuleni pesa zote za fitna za akina Mwigulu, kigwangala, makonda , Nape na January lakini kuyazuia mabadiliko ni kazi ngumu sana.
 
Ni kweli kabisa,hata nae lowasa kajiharibia!hakuna mwenye nafuuu
 
Mapesa ya marehemu Gadafi sasa yanatumika kumhujumu Lowasa na Ukawa, Membe hapati usingizi anatamani lowane hata apooze miguu yote ili asiingie ikulu ameletewa waganga wa kienyeji kibao toka Gambia na mataifa mengine ili waje kuuungana na waganga wazawa kuwahujumu ukawa, Membe kwa kweli kichwa kinamuuma sana kwa saa 24 yupo busy kupanga njia za kumkwamisha lowasa.
 
Naona sindano za mzee mzima Sumaye zimegusa hadi katikati ya mifupa.
Kwa bandiko lako hili ni dhahiri wewe ni mchumia tumbo,unadhani huo ushauri wako wa kijinga nani aufuate?
Tokea lini adui akamsifia adui yake?
Ni dhahiri kuwa Sumaye anawanyima usingizi,na bado.

Ikifika 25 October ndiyo mtajua namaanisha nini. Sahivi jifarijini kwanza no wonder Mr zero amekuja kuongoza kama alivyosema Kuwa hamna watu wenye sifa za kuongoza.
 
Uwezo wako wa kutoa Mada ni mdogo sana hivi hata standard vii ulimaliza kweli. Lete hoja za msingi sio huo ujinga au kwakuwa mpo huru kupost unachowaza tu
 
Huu ni ukweli usiopingika kuwa wapambe wa Lowassa aliotoka nao CCM wanao mnadi jukwaani ndiyo wanaozidi kummaliza badala ya kumsaidia.
Sumaye amekuwa akisema serikali ya CCM haijafanya chochote kwa miaka 54 ya Uhuru wakati huo huo wanasahau yeye na huyo Lowassa wake walikuwa sehemu ya serikali hiyo wanayosema haijafanya chochote kwa miaka 13.

Wanasahau ndani ya miaka kumi ambayo Sumaye alikuwa waziri mkuu yeye ndiyo alikuwa mtendaji mkuu wa shughuli za maendeleo za serikali kwa hiyo anaposema haijafanya chochote bila shaka alihusika kukwamisha baadhi ya maendeleo kwa miaka kumi.

Na hivyo hivyo kwa Edo. Kazi waliyompa Sumaye ya kumnadi hasimu wake mkubwa Edo ni kuzidi kumdidimiza Edo huenda akijua maana alishakaririwa akisema kuwa na yeye ni moja ya wagombea kupitia CHADEMA hivyo hatuwezi kujua mkakati wake ni upi juu ya Edo.

My take; CHADEMA asilia kama mko serious kuwa mnaitaka nchi japo hamuwezi kuipata hata kama CCMwakilala wasipopiga kampeni? Amkeni mumnadi huyu Mzee maana Sumaye anammaliza na si kumsaidia.Japo nyuso zinawasuta lakini jikazeni tu hivyo hivyo no way out.

Hoja tu matusi hayaruhusiwi.

Nawasilisha.


Sasa kama wanamharibia si ni vyema kwako manake hatapata kura?
Hofu ya nini? We waache hao wapambe waendelee kumnadi mgombea kwani mwaka huu ni wa mabadiliko.
 
Hebu subiri tuiondoe CCM kwanza ndipo uje na hizi ngonjera zako.
 
Mabadiliko hayaepukiki sasa taa ya kijani imewaka ukawa wanaelekea ikulu njia nyeupe, nyie endeleeni kuzitafuna pesa za Membe kuleni pesa zote za fitna za akina Mwigulu, kigwangala, makonda , Nape na January lakini kuyazuia mabadiliko ni kazi ngumu sana.

Ni kweli mabadiliko hayaepukiki sasa na taa ya kijani imewaka, taa hiyo ya kijani ni CCM. Ukawa taa yao ni nyekundu maana yake hatari, wanaisindikiza CCM na wanakwenda Ikulu kushudia kazi nzuri anayoendelea nayo Mhe. Dr. Magufuli akiwa Rais wa Awamu ya Tano.


Vijana hongereni kwa kuchangamkia fursa adimu ya kujaziwa mafuta kwenye boda boda maana haitajirudia, mnadhani baada ya Oktoba 25 matokeo yakitangazwa Edo kagaragazwa mbaya atawapa mafuta tena?
 
RUBBISH!!
TUNAMUHITAJI LOWASSA KWA NAMNA YOYOTE ILE WHEATHER NI MZURI AU MBAYA KWA SABABU WATANZANIA KWA MWAKA HUU ""TUNACHAGUA MABADILIKO"""

ii

Kweli BAVICHA mnataka mabadiliko maana ufisadi umegeuka Lulu kwenu na hayo ndiyo mabadiliko mnayoyataka
 
Mabadiliko hayaepukiki sasa taa ya kijani imewaka ukawa wanaelekea ikulu njia nyeupe, nyie endeleeni kuzitafuna pesa za Membe kuleni pesa zote za fitna za akina Mwigulu, kigwangala, makonda , Nape na January lakini kuyazuia mabadiliko ni kazi ngumu sana.

ID yako inasadifu uwezo wako wa kufikiri.
 
Hizi ndiyo akili za timu lowassa. Ushawahi kupima kiwango cha ujinga wako?

Akili na mawazo ya mtu havina Uhusiano wangapi wenye Akili nyingi lakini wanatenda Vioja? Uhuru wa mawazo na mtizamo wa mtu hauhitaji uwe na akili nyingi sana kwani wapiga kura wote wana Akili nyingi? Hiki ni kipindi cha uchaguzi kila upande lazima utete hoja zake hata wewe ukija na hoja zako zozote zile hakuna mtu mjanja atakushangaa ni kipindi kitapita na kutakuwa na maisha mapya baada ya tarehe 25 October
 
Ni kweli kabisa,hata nae lowasa kajiharibia!hakuna mwenye nafuuu
Kama wamejiharibia si ndo mshangilie sasa? Umeme majanga nyie wapuuzi bado mnashabikia hilo lichama? Nani kawaroga?
 
Back
Top Bottom