Lowassa: Wanawake hiki mlichonipa si mapenzi bali mahaba

Lowassa: Wanawake hiki mlichonipa si mapenzi bali mahaba

greuben

Member
Joined
Dec 17, 2012
Posts
42
Reaction score
4
Jamani hii dhana ya mheshimiwa Lowasa kusema watanzania wanampa mahaba iko sawa ki maadili iko sahihi au nikuwatukana wa Tanzania? Hasa ukizingatia anayasema haya huku akitoa ahadi ya kumwachia babu Seya aliyesibitishwa mahakani kwa makosa ya ulawiti! Chadema na ukawa kwa ujumula mbona mnamwachia kuongea hata vitu ambavyo vina leta picha mbaya kwenye jamii...ni upuuzi huu tuacheni ushabiki
 
Jamani hii dhana ya mheshimiwa Lowasa kusema watanzania wanampa mahaba iko sawa ki maadili iko sahihi au nikuwatukana wa Tanzania? Hasa ukizingatia anayasema haya huku akitoa ahadi ya kumwachia babu Seya aliyesibitishwa mahakani kwa makosa ya ulawiti! Chadema na ukawa kwa ujumula mbona mnamwachia kuongea hata vitu ambavyo vina leta picha mbaya kwenye jamii...ni upuuzi huu tuachani ushabiki

mahaba ni kupenda kitu hata kama kichafu mapenzi ni kukipenda kitu wa ubora wake
 
Ndio tuna mahaba naye hivyo hivyo alivyo mko busy kumjadili lowasa makomeo mmemwacha wapi?
 
Sina jaziba mkuu hapa bado nina raha ya jana uwanjani hivyo niko kimahaba mahaba na UKAWA

Kaka kweli raha au basi tu unajikaza
Binafsi naona ugumu na sina amani na yaliyotokea Jana
Tuwe wakweli ili tuone ni jinsi gani tuboreshe hotuba zetu
Mambo ya mahaba au mapenzi sio issues kwa watanzania
Watuambie kupitia migodi watz tutanufaikaje, kupitia bahari na maziwa tutanufaikaje, kupitia gesi nk..
 
Tumesema hiviiiii maneno mengi tumesha choka utekelezaji sifuri sasa tuna badili mfumo uliopo kwanza maneno piga chini
 
Kaka kweli raha au basi tu unajikaza
Binafsi naona ugumu na sina amani na yaliyotokea Jana
Tuwe wakweli ili tuone ni jinsi gani tuboreshe hotuba zetu
Mambo ya mahaba au mapenzi sio issues kwa watanzania
Watuambie kupitia migodi watz tutanufaikaje, kupitia bahari na maziwa tutanufaikaje, kupitia gesi nk..

Tumesemaaa hiviiiii maneno mengi mazuri tumeambiwa sana utekelezaji sifuri tatizo ni mfumo hivyo tubadili mfumo kwa kuwapiga chini wenye porojo ndipo tupange hayo unayo yataka.
 
Back
Top Bottom