Lowassa vs MwanaHalisi

we timamu kweli au kichaa? Kwa taarifa yako ili gazet linaandika ishu mpya kila wiki tena adimu zinazowakela magamba hadi mkwer.e himself kwan mfano headlines wiki hii LOWASA,ROSTAM KUMZIMA KIKWETE hii haiusiani na richmond, nyingine CCM WAPANGA KUHUJUMU CHADEMA, pia kuna habari hoayoiusu CUF,acha utovu wa nidhamu ongelea unayoyajua yale ya mzalendo,uhuru na jambo leo sio mwanaHALISI
Tuko pamoja kaka kumbe hata kichwa cha habari wiki hii kimemtaja tena lowasa,na hilo ndio hata mimi nimesema hapa.hio habari ilikuwa ina nia ya kuchonganisha kt ya low na jk
 
Nimeangalia kwa makini sana gazeti la Mwanahalisi kwa zaidi ya miaka mitatu mfululizo bila kukosa na leo nasema kwamba Mwanahalisi ni gazeti maalumu lililoundwa kwa ajili ya kumshughulikia Edward Lowasa na Rostam Aziz.Siku ambayo hawa watu wawili hawatakuwepo basi na gazeti letu kipenzi litakuwa limekufa pia.Leo niko tayari kupinga na mtu yeyote kuwa “KAMA MWANAHALISI LIKIKAA MWEZI MMOJA TU HALIJAANDIKA HABARI YA LOWASA BASI NITATOA KWA NILIOPINGA NAE SHILINGI MILIONI MOJA” japo ni hela nyingi kwangu ila nina uhakika haziwezi kunitoka kw kuwa Mwanahalisi wanamuota mchana na usiku Edward Lowasa……….Kwa kweli Lowasa ni mvumilivu sana ningekuwa mie ningekuwa nimeshafungwa jela kwa kumshughulikia mtu mbaya kabisa ,siwezi kuchezewa namna hii.:angry:


Hutakiwi kushangaa Huyo Lowasa anapenda sana kuandikwa kwenye Media. Ni kwamba tu sasa hivi unashangaa sababu upepoumebadilika. Kabala ya richmosnd allikuwa anasifiwa wa kuonekana kwenye TV akiwakoromea wakuu wa wilaya. Huo ndo usanii wake. Je hukuona tatizo kwenye hilo kiongozi amabye anaweza kufanya kazi kimya kimya bila kutaa kuonekna kwenye vyombo vya habari. yaani tatizo analoweza kumunadikia mkuu wa wilaya doezo au memo yeye alikuwa kwenye TV.


Sasa kwa style hiyo hiyo upepo umebadilika so Usishangae Lowasa Like the media but he might not like the way he is represented. Ndio maana una wachovu wanadhani Lowasa ni bora kuliko Pinda.

What goes arround comes arruound
 
Naomba ufikirie kidogo tu. Kwanza uko sahihi kwamba urais ndio sababu, lakini unakosea kuona kama ni sababu ya kijinga maana unakua kipofu kuona kwamba urais ni kitu kidogo. Hivi kweli unataka tuache mtu mwenye nguvu ya kisiasa ambaye ni fisadi aje kutawala? Baada ya 2015 Lowassa hatakua issue ya nmagazeti atakua issue ya Rais ajaye kumburuza mahakamani

nimeshafikiria sana,isipokuwa natamani ifike siku moja nyota iitwe nyota kwa sifa zake,ung'avu wake na weredi wake,vivo hivyo kwa jua,mwezi,ng'ombe hata mbuzi,nachelea kufanya exageration kwa nyota kuuita jua na kuwasadikisha ama kujisadikisha wenyewe kuwa nyota ni jua,tuliaminishwa kipindi kile kuwa sumaye alikuwa bepari n.k, leo hii ubepari wake umeenda wapi? masikini ya mungu baada ya kuenguliwa tu kwenye kura za maoni ccm,sumaye amebaki kuwa mtu safi na waziri mkuu mstaafu mwenye rekodi adimu, baada yake tukapelekwa kwa dk.salim,eti ni mwarabu,hizbu,si raia na alishiriki kumuua mzee karume........hayo yalipita,ikawa kimya,2015 ikipita ukweli kuhusu richmond utajulikana na hili la lowasa litakuwa kimyaaaaaaaaaaaaa,swali:inamaana lowasa ndiye alikuwa final say wa serikali? kama siyo kwa nini aliwajibika peke yake tena kwa ajili ya "manufaa" na kukilinda chama chake?????????don't you guys thiiiiiiink??? open your eyes guys. acheni hizo bana
 
Akili yako ni fupi unaishia kusema nani kasema na siyo nini kimesemwa...hio ni moja ya dalili ya uwezo mdogo wa akili.Serukamba huwezi kufanana nae hata kidogo....ana historia kwenye siasa ya Tanzania ambayo mtu kama wewe huwezi kufanya:
1.Alivunja nguvu ya Chadema kigoma
2.Alimdondosha DR Kaburu mpaka akafanya ajiunge na CCM
3.Mkristu wa kwanza kukubalika ndani ya himaya za ujiji na mwanga
4.Kashinda uchaguzi kigoma mara mbili
5.Kashinda kigoma pamoja na nguvu zote zilizotumika dhidi yake ambazo ni halali na haramu
Pamoja na mambo yote kati yetu nabaki kumuheshimu kama mwanasiasa bora na anaesimamia anachokiamini

Umesahau moja kuwa Bunge lililopita walikuwa wanamwita ni mke wa nani vile!!!!!!!! na wewe ni namba mbili. mimi sijasema kuwa wewe ni peteerr ila mnafanana
 
Usijaribu kupoteza mada. Lowassa ni fisadi na Kubenea anajua hivyo. Tena wewe Nchimbi J unayepotosha ukweli, ndiye uliyesema siku ile Kubenea alipomwagiwa tindikari, kwamba "bora angepofuka." Suala la Kubenea kuwa hakutoa ushahidi mahakamani si la kweli. Kubenea alikwenda mahakamano na akahojiwa mara kadhaa. Lakini tunajua waliotumwa kumwagia tindikali mmoja wapo ni shemeji wa Lowassa. Muache kusingizia kuwa alichua mke wa mtu.Je, mke wa mtu anatafutwa kwenye chumba cha habari?
 
Usijaribu kupoteza mada. Lowassa ni fisadi na Kubenea anajua hivyo. Tena wewe Nchimbi J unayepotosha ukweli, ndiye uliyesema siku ile Kubenea alipomwagiwa tindikari, kwamba "bora angepofuka." Suala la Kubenea kuwa hakutoa ushahidi mahakamani si la kweli. Kubenea alikwenda mahakamano na akahojiwa mara kadhaa. Lakini tunajua waliotumwa kumwagia tindikali mmoja wapo ni shemeji wa Lowassa. Muache kusingizia kuwa alichua mke wa mtu.Je, mke wa mtu anatafutwa kwenye chumba cha habari?
haya mambo ya kusingiziana ni hatari sana ni wapi mimi nilisema kuwa kubenea angepofuka kamanda au unajaribu kuleta propaganda za kuuza cement kwa shilingi elfu tano lwa mfuko.
 
Hutakiwi kushangaa Huyo Lowasa anapenda sana kuandikwa kwenye Media. Ni kwamba tu sasa hivi unashangaa sababu upepoumebadilika. Kabala ya richmosnd allikuwa anasifiwa wa kuonekana kwenye TV akiwakoromea wakuu wa wilaya. Huo ndo usanii wake. Je hukuona tatizo kwenye hilo kiongozi amabye anaweza kufanya kazi kimya kimya bila kutaa kuonekna kwenye vyombo vya habari. yaani tatizo analoweza kumunadikia mkuu wa wilaya doezo au memo yeye alikuwa kwenye TV.


Sasa kwa style hiyo hiyo upepo umebadilika so Usishangae Lowasa Like the media but he might not like the way he is represented. Ndio maana una wachovu wanadhani Lowasa ni bora kuliko Pinda.

What goes arround comes arruound
Nini kipimo cha mtu anaependa kuandikwa kwenye vyombo vya habari na unawezaje kufikisha maagizo kwa wananchi bila kutumia vyombo v ya habari.Ni kweli Lowasa n bora kuliko Pinda kwa kuwa anasimamia na tunajuia nini kafanya lakini pinda kafanya nini mpaka sasa na kasimamia nini zaidi ya kulia lia bungeni.
 
Nimeangalia kwa makini sana gazeti la Mwanahalisi kwa zaidi ya miaka mitatu mfululizo bila kukosa na leo nasema kwamba Mwanahalisi ni gazeti maalumu lililoundwa kwa ajili ya kumshughulikia Edward Lowasa na Rostam Aziz.Siku ambayo hawa watu wawili hawatakuwepo basi na gazeti letu kipenzi litakuwa limekufa pia.Leo niko tayari kupinga na mtu yeyote kuwa “KAMA MWANAHALISI LIKIKAA MWEZI MMOJA TU HALIJAANDIKA HABARI YA LOWASA BASI NITATOA KWA NILIOPINGA NAE SHILINGI MILIONI MOJA” japo ni hela nyingi kwangu ila nina uhakika haziwezi kunitoka kw kuwa Mwanahalisi wanamuota mchana na usiku Edward Lowasa……….Kwa kweli Lowasa ni mvumilivu sana ningekuwa mie ningekuwa nimeshafungwa jela kwa kumshughulikia mtu mbaya kabisa ,siwezi kuchezewa namna hii.:angry:
wee mpuuzi,idiot...
 
wee mpuuzi,idiot...
Naweza kuwa idiot lakini ukweli hata leo mmejionea akijaribu tena kutoa hadithi za mwanahalisi ambazo zinaongelea mpaka anachowaza kanakwamba wao ni Mungu wanajua mipango na mambo yote ya Lowasa mpaka alichokuwa akiwaza huko kwa Joshua.......................huku ni kuingilia haki yake ya kuabudu na kwa kweli ni kutomtendea haki hata kidogo.
 
Nini kipimo cha mtu anaependa kuandikwa kwenye vyombo vya habari na unawezaje kufikisha maagizo kwa wananchi bila kutumia vyombo v ya habari.Ni kweli Lowasa n bora kuliko Pinda kwa kuwa anasimamia na tunajuia nini kafanya lakini pinda kafanya nini mpaka sasa na kasimamia nini zaidi ya kulia lia bungeni.

Hivi we unadhani leadership ni kupiga kelele. Unleass tunaonglea leadership wa makuli bandarini. Lowasa hana ubora wowowte wa vigezo na sifa za leaders au managers katika karne hii.

Hakuna maaagizo Lowasa aliyokuwa anatumia kifikisha kwa wananchi yeye kwenye azaira zake mikoani alikuwa ni kuwaaaibisha na kuwakaripia ma DC. na ma RC Kwa management style ileni very low. yeye alijua weakness ya wananchi anajua akimfokkea DC au RC anapanda chat.

But yeye kaama PM kufoka foka kwake alitakiwa afoke kwa maandishi na madokezo . Kiofisi na profesionaly ina sound. Sio danganya toto wananchi kujifanya yuko seroius kumbe yeye ana Richmond.

Kuna mtu mmoja alisema eti ma DC na ma RCwalikuwa wanamowogopa . Kuna tofauti ya Kuogopwa na Kuheshimika. Pinda ana hesmikika zaidi ya Lowasa. Na leader yeyote amabye anaogopwa lakini haeshimiki ni kai bure. Same sa JK........ heshima yake inazidi kushuka.

Mkuu pekua peua na google leadership ana managers qualities ujue kuwa Lowasa as Jk ni watu wa media tu.
 
Kwanza niweke rekod vema kuwa mimi situmwi na mtu yeyote na wala sijasema nawakilisha mawazo ya mtu hapa.........ni mawazo yangu na akili yangu.wewe unaona dowans ni ufisadi ni sawa mimi naona dowans ni ukombozi kwa kuwa wameleta umeme na umeme wao wlikuwa wakiuza bei rahisi kuliko iptl,songas na aggreko.hapa ndio nataka tuanzie kubisha kuwa tunataka hata kama watu wachini walikosea lakini ktk makosa yao wakaleta umeme kwa bei ya chini ndio wanakuwa maadui wetu wa maisha au ni yule ambae anatuuzia umeme wa megawts 80 kwa sh mil mia sita kwa siku na bado mko kimya.........kweli huu ni unafiki wa ajabu sana.usipotoshe sijaongelea vodacom hapa.mimi sina haja ya kuwa mwanasiasa kwa kuwa mnafiki na kutokuwa mkweli kama unavyotaka kuonyesha hapa


Duh, hujaongelea Vodacom!!!!! Sasa kama hata hili unasahau sijui utakumbuka lipi we mwanaume wa Songea?

Jenga hoja zako na sio umbeya hapa.....mi mi nasema kuwa uwekezaji uliofanywa na Rostam ndani ya tanzania ni muhimu kuliko hata haya majungu mnayoleta hapa.....mna laana nyinyi watu.
1.Kaleta dowans ambayo iliwapa offer ya umeme wa chini kuliko kampuni yeyote binafsi inayozalisha umeme kusini mwa jangwa la sahara.
2.Kaleta gazeti la mwananchi ambalo ndio gazeti bora tanzania katika ujenzi wa demokrrasia.
3.Anadhamini ligi ya vodacom
4.anadhamini miss tanzania
5,Analipa kodi zaidi ya bilioni 40 kwa mwaka
6.Katoa ajira kwa zaidi ya watanzania elfu tatu
7.Kajenga madarasa na kugawa madawati kwa zaidi ya shule mia tano nchini

Labda ajala chakula na walemavu tu

Naamini kwamba hapo juu itakukumbusha.... ila na mimi nimesema siamini kamaumetumwa na kaka yako Emmanuel, sasa na hilo hujaelewa pia?
 
Umesahau moja kuwa Bunge lililopita walikuwa wanamwita ni mke wa nani vile!!!!!!!! na wewe ni namba mbili. mimi sijasema kuwa wewe ni peteerr ila mnafanana

hahaaa.... asije akaingia anga zangu.... maana nasikia jamaa aligombana hadi na mrs wa jamaa kisa alinogewa akajisahau
 
hahaaa.... asije akaingia anga zangu.... maana nasikia jamaa aligombana hadi na mrs wa jamaa kisa alinogewa akajisahau
Kamjaribu kama hatakutoa kamasi mpaka ukamsahau mwenzio nyumbani...then uje utupe taarifa kama ni kweli usemayo hapa.
 
Tatizo sio mwanahalisi ila ni kansa inayoitafuna magamba, serikali na wewe mwenyewe ndio maana linakukera na unaliona la udaku, lakini kwa taarifa yako wao ni wambea kwa kutujuza mambo yanayoendelea kila uchao ya ufisadi na utawala mbovu (kansa) ambayo yanakusibu hata wewe, kwahali hiyo lazima uwaone wadaku

bOFYA HAPO JUU UYAJUE MAGAMBA YANAYOZUMGUMZIWA
 
Saafi sana..............Aibu mtu mzima kuumbuliwa kiasi hicho,halafu inaelekea jamaa ni bonge la gamba.Jamaa amekushauri vizuri anzisheni magamba forum,we si unaumia sana nenda jela kwa niaba yao itasaidia pia
 
Hizo pesa alizoanzisha hayo yote kazitoa wapi kama si kwa kuwanyonya watz,hebu peleka ujinga huo kwa magamba wenzio,tena ilibidi afilisiwe vyote hivyo unavyoviongea hapo maana ni vya wtz.ACHA MCHEZO KWENYE MASLAHI YA WTZ
 
Back
Top Bottom