Lowassa tuokoe maisha ni magumu, nukuu!

Lowassa tuokoe maisha ni magumu, nukuu!

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
12033096_988754544521873_8637910918080260242_n (1).jpg
 
Itafika mahali tutavuka hiyo hatua ya kuokota makopo kama vichaa na kuanza mapambano ya walionacho na wasio nacho. Hii amani tunayodanganywa nayo na CCM ni ya muda tu kwani hakuna amani penye njaa.
 
Halafu jamaa kila siku wanapiga pesa bila huruma!
 
itafika mahali tutavuka hiyo hatua ya kuokota makopo kama vichaa na kuanza mapambano ya walionacho na wasio nacho. Hii amani tunayodanganywa nayo na ccm ni ya muda tu kwani hakuna amani penye njaa.

hakuna amani tanzania ,,watanzania ni waoga na wenye hofu sana
 
hakuna amani tanzania ,,watanzania ni waoga na wenye hofu sana

Na ndiyo maana wameanza kuwatisha na Vita ya Libya pamoja na Saddam wa Kuwait, tehe teheee.

Uzuri Watanzania wameanza kujitambua na wako vile kwa sababu gani
 
Huyo anaomba aangamizwe na mafisadi waliojipanga kuitafuna nchi bira huruma.
 
Itafika mahali tutavuka hiyo hatua ya kuokota makopo kama vichaa na kuanza mapambano ya walionacho na wasio nacho. Hii amani tunayodanganywa nayo na CCM ni ya muda tu kwani hakuna amani penye njaa.
Mwenyezi atunusru
 
Hiyo picha inaleta hasira kwa wananchi na wanazidi kuochukia ccm
 
Back
Top Bottom