Atajibu mwenye Lowassa, alikuwa anafanya nini na hizo fedha? Hapo sasaKuwa makini cyber crime ita sema na wewe, usidhani na huku JF hawapo wachunguzi wewe post vi picha vyako ili upate comments nyingi ila mwisho wa siku.. itakula kwako..
Angalia hapa kada wa CHADEMA akiombewa na Dr. Magufuli na kujikabidhi kwa Chama cha Mapinduzi.Uzombie ni kazi mbaya sana. Ccm mna kazi kweli kulea mazombie wenu.
Sasa Lowassa anaweweseka ile mbaya. Anasubiri kiyama yake October 25. Kwisha ahabari yake.hhahahhahahahhaahah bora aitunze hyo make wabongo ndo tumeshashtukaaa hvoooooo
Kama umeishiwa cha kuandika, bora ujitoe nje ya JF.
![]()
Huyu ni Lowassa akiwa katika mbinu zake za kugawa fedha ili kununua watu.
UKAWA inadhoofika kila sekunde.Sawa junior ccm member
tunakujuaa vizuriiii
siumetumwaa kwanziaa Jana
Kazana
[h=3][/h]
![]()
Huyu ni Lowassa akiwa katika mbinu zake za kugawa fedha ili kununua watu.
we utakua gosha si buree..itakua wanaume wenzako wanapulia mgongoni mwakoooo
[h=3][/h]
![]()
Huyu ni Lowassa akiwa katika mbinu zake za kugawa fedha ili kununua watu.
There is a law called conspiracy, do you know it?Una uhakika gani kama alikuwa anataka kugawa fedha ili kununua watu.
Ww ndio inabidi utuelezee, na kwann hayo maneno umeyaandika kwenye picha?
Watu kama nyie ndio inabidi tuwatafute ili sheria ianze na nyie.
Inaonekana unapenda kupigwa chini kama jina lako.
There is a law called conspiracy, do you know it?