KINACHOWAPONZA CHADEMA
Nimejaribu kufatilia kwa umakini kampeni za wagombea wa nafasi ya uraisi hasa wa Magufuli na Lowasa,nimebaiini mambo kadhaa yanayompoza Ndugu Lowasa,tatizo kubwa la huyu jamaa ni kutoa ahadi ambazo hazina tija na pia utaekelezaji wake ni mgumu (yeye mwenyewe anashindwa kufafanua utekelezaji wake).
Ahadi kama kumtoa babu seya,kuwatoa magaidi na kumleta balal (hizi hazina tija kwa wananchi),ahadi za kuondoa umasikini,elimu buree,kufufua viwanda n.k amekuwa akizitoa kila anapofanya mkutano bila kueleza mipango au mikakati yake itakavyokuwa!Baadhi ya wananchi wanahisi kama kiongozi huyu amekremua kusema hayo!
Lowasa wananchi wanahitaji mikakati na si ahadi hewa,ahadi unazotoa bado hujaweza tushawishi maana hata mtoto mdogo wa darasa la pili anaweza ongea unayoongea!!