Lowassa: Nitamtoa Babu Seya gerezani

Status
Not open for further replies.

Mleta mada anajielewa?au ---- Fulani maana tunajadili nchi unaleta ya chalinze
 
hivi rais akisema huyo mtu afungwe kwa uelewa wako mdogo unafikiri mahakama itafanya nini?
kwa akili yako unafikiri mahakama ya rufaa inasimamiwa na malaika? kwa ccm hata mmchukue malaika awe rais baada ya wiki moja atakuwa fisadi

mwaka huu lowasa atawashusha suruali mpaka chini ya magoti
 
Huyu alikuwa kajitwisha viroba 50 wakati tunalijadil anyway akili zake hana tofauti na bat
 
Mkuu kwani hujui kuwa Lowasa hana sera ni mtu fulani mropokaji tu.

kaka hivi kati ya lowassa na chama chako ni nani mropokaji? Na ni nani hana sera ikiwa chama chako kimekaa madarakani zaidi ya miaka 50 na kimeshindwa kuondoa umaskini ulio kithiri?
 
Tulisha jadili hii mada wiki mbili zilizo pita Moderator unganisha huu uzi na ule wa "lowassa atamtoa babu seya gerezani"

siombaya tukajadili tena labda ukawa wenzetu mtakuwa mmegundua kitu kwenye sheria za nchi yetu zinazo mpa rais wenu uwezo huo aliosema inasemekana ni moja kati ya sera nzur na kuu aliyokua nayo
 
Last edited by a moderator:
Majizi yanakosea hata kujaza fomu
 

Attachments

  • 1440180193829.jpg
    41.4 KB · Views: 395

Mahakama ilishaprove watoto walibakwa.
 

Na akushushe wewe Kwanzaa!!
 
siombaya tukajadili tena labda ukawa wenzetu mtakuwa mmegundua kitu kwenye sheria za nchi yetu zinazo mpa rais wenu uwezo huo aliosema inasemekana ni moja kati ya sera nzur na kuu aliyokua nayo

mjadili mgombea wenu wa ubunge kasulu kigoma alie zaliwa 15-08-2015.
 
kaka hivi kati ya lowassa na chama chako ni nani mropokaji? Na ni nani hana sera ikiwa chama chako kimekaa madarakani zaidi ya miaka 50 na kimeshindwa kuondoa umaskini ulio kithiri?

Acheni uvivu fanyeni kazi umaskini utakuwa historia.

Sio mnashinda vijiweni asubuhi hadi jioni halafu mnalalamika umaskini.
 

Kila mwenye ufahamu wake timamu anajua kila kitu juu ya kesi ile.... Kweli isiposhinda Leo basi kesho lazima ishinde... The ruling was run unjustly by remoted Judges corrupted ones.... Acha upepo uanze kuvuma tujionee nyeti za Kuku....
 
Jinsi mnavyomsema huyu jamaa ata asiemjua itabidi ampende tu manake atajua mmejaa chuki na fiksi na mmejaa woga kweli kweli...miaka nane mnamsema lkn umaarufu unazidi kupaa tu..poleni sana

hyo miaka 8 mlikua mnamsema nyinyi ukawa mkampa umaarufu,mkamtangaza kwenye list of shame sasa hv mnaiita list of fame amaizing...pili ni kwel kwa wanaccm na wazalendo wa nchi tunawoga sana kumkabidh nchi mtu kama huyu kwakua hata nyie wenzetu mnaomkumbatia sasa hv mlishamkataa mapema kuwa hafai kuongoza nchi hata kumuita majina mazito sasa sisi kwanin tusimkatae?
 
Ili kumaliza utata na kelele za mtaani.

Ningependa mzee Mengi amsaidie lowassa kwa kuwaleta wale mabinti waliokuja kutoa ushuhuda wa kubakwa na Babu Seya.

Jambo hili ni rahisi kuliko kutuletea ahadi na kusubiri uchaguzi mkuu upite.
 
Ilikuwa movie ya kihindi hadi leo bdo ina mwendelezo episode ya 95 ndiyo imetoka ipo mtaani! haiwezekan baba na watoto wapite sehemu moja no haiwezekani
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…