Hii habari imesomwa magazeti ya leo, nimeisikia katika gazeti la Nipashe. Maoni yako tafadhali. Tumpe tusimpe hiyo bakora?
aaaaaaaAaaaaaha ha ha ha ha ha..........asee lowasa nimemkubali ha ha ha ha....
hii habari imesomwa magazeti ya leo, nimeisikia katika gazeti la nipashe. Maoni yako tafadhali. Tumpe tusimpe hiyo bakora?
aanze kujitandika ye mwenyewe lifisadi papa.....
Tungeomba Tumchape Yeye Kwanza Kwani UMASIKINI Huu TULIONAO Sasa Watanzania 80% Umesababishwa Na UFISADI Wake Yeye Na Mwenzie Sumaye.
Tungeomba Tumchape Yeye Kwanza Kwani UMASIKINI Huu TULIONAO Sasa Watanzania 80% Umesababishwa Na UFISADI Wake Yeye Na Mwenzie Sumaye.