Lowassa: Ni ngumu upinzani kushinda Arumeru

Ukweli ni kuwa ulafi wa madaraka unasababishwa na chadema, kama wameshapata madiwani wa kutosha kwa nini wasipige kura kuamua kati ya cuf na NCCR mmoja ndio angesimamishwa hapo, hili la kujiona kuwa wanakubalika sana kaskazini ndio linawafanya wanyime nafasi vyama vingine kukua ukanda huo.
 
Chadema ni wabinafsi sana. Kama wanasimamia Usawa, Haki na Demokrasia kwa nini wasiwaachie CUF na NCCR wasimamishe wagombea!?
 
Mkuu, umewasababishia UKAWA kuharisha asubuhi asubuhi bila matarajio. Isitoshe leo ni maadhimisho ya sherehe za mapinduzi Zanzibar, yaani ndio wanaharisha mfululizo.

Lowasa walimalizana na Mbowe na wanajua wao tuu walikubaliana nini, hawa wengine UKAWA wanahangaika tuu. yaani wanatumika bila kujitambua.
 
eti nakaribisha washambuliaji!
 
Tanzania hakuna upinzani. Hawa kina Lowasa na Mbowe wanawauza tu kisiasa.
 
eti nakaribisha washambuliaji!
Nimesema hivo maana kuna watu wanamahaba ya ajabu sana. Tukisema Lowasa hakufaa ba hafai wanaleta matumbo juu.
Hili kosa mbowe hatakiwi kabisa kurirudia.
Mwananchi usirudie kosa 2020
 
Naona mnajitekenya na kujichekesha team Lumumba, aliposema aliyeshinda alimaanisha aliyeshinda kihalali ambaye ni wa chadema na ndo maana huyo ******** akatenguliwa na mahakama
 
Na ubinafsi huo ndio ulisababisha Julius Mtatiro aangukie pua

Yaani nchi hii sio ccm wala upinzani wana afadhali wote washenzi tu
 
Reactions: R.B
Mimi sijakuelewa mleta mada. Alishinda halafu akatenguliwa na mahakama,baada ya kutenguliwa si akapewa ushindi mtu mwingine au!? Na huyo aliyepewa ni wa ccm au cdm!?
 
Lowasa bado n mwanachama wetu halali..anafanya kaz tuliomtuma baada ya kumuona mrema amezeeka
 
Reactions: R.B
Lowasa ni agent wa ccm na hawezi kuikana ccm, airudishe kadi ya ccm kwanza,

Yupo kwaajili ya kuuwa upinzani
 
Reactions: R.B
Ni ngumu kama mama janeti kuambatana na mumewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…