nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
duh.....
Mkuu sio ubinafsi shida ni kwamba Ukawa ulianza wakati tayari tumekaribia uchaguzi so wagombea wa vyama vyote tayari walishaanza kujijenga majimboni na kwenye kata ivo ikawa mgumu kuwaeleza mmoja asimame mwingine akae pembeni wakati wametumia pesa na muda wao kujijenga hio ndo challengeNa ubinafsi huo ndio ulisababisha Julius Mtatiro aangukie pua
Yaani nchi hii sio ccm wala upinzani wana afadhali wote washenzi tu
Ukweli ni kuwa ulafi wa madaraka unasababishwa na chadema, kama wameshapata madiwani wa kutosha kwa nini wasipige kura kuamua kati ya cuf na NCCR mmoja ndio angesimamishwa hapo, hili la kujiona kuwa wanakubalika sana kaskazini ndio linawafanya wanyime nafasi vyama vingine kukua ukanda huo.
Nakubaliana na wewe wafanye kama Ghana. Ghana mpaka chama cha Nkrumah kilifaulishwa na Jerry Rawlings na kukianzisha upya na katiba mpya ya Ghana mwaka 1992Ni kweli kabisa huu usanii wa kuunganisha vyama kwann wasivunje vyama vyote waanzishe wasajili chama kimoja kuiondoa ccm itakuwa kama kumsukuma mlevi watu hawaipendi ccm wanaofia kuruka mkojo wakakanyaga mafi
Katika hali ya kushangaza Lowassa alijikuta akimuombea kura mgombea udiwani wa CCM, Julius Savoyo katika jimbo la Arumeru aliposema wananchi wa kata hiyo wanapaswa kumpa kura na kumuweka madarakani mgombea aliyeshinda katika uchaguzi uliopita wa mwaka 2015, pasipo kujua diwani aliyeshinda wakati huo na kutenguliwa na mahakama ni wa CCM.
“Wananchi wa kata hii hamna kazi ngumu katika uchaguzi pamoja na makosa yaliyofanywa na vyama vya Ukawa ya kusimamisha wagombea kila chama, hakikisheni mnamrejeshea udiwani yule aliyeshinda wakati ule ili aendelee na kazi yake,” alisema Lowassa.
Hii inadhihirisha kuwa Mh. Lowassa hakufanya haya kwa bahati mbaya bali ni ukweli uliopo ndani ya moyo wake, kwa kuwa hata akijifungia chumbani kwake peke yake, anakubali CCM.
Katika uchaguzi wa mwaka juzi pia Lowassa alijikuta wakati mwingi akiwanadi wagombea wa CCM badala ya Ukawa.
Mkuu ukweli ni kuwa chama pekee cha upinzani kilichokuwa kinapiga operesheni za kujijenga nchi nzima ni chadema pekee huku bara sikuona kma lipumba au mbatia walifanya mikutano mingi sana.Walikuwa wanawalaumu CUF,mbona NCCR Mageuzi nao wamesimamisha mgombea?.
Kweli tupuRowasa ana mahaba sana na ccm sema tu ana uchu wa madaraka ndio maana alihama
Mimi sijakuelewa mleta mada. Alishinda halafu akatenguliwa na mahakama,baada ya kutenguliwa si akapewa ushindi mtu mwingine au!? Na huyo aliyepewa ni wa ccm au cdm!?