Lowassa ni mateso kwa Taifa

Lowasa ameipasua Chadema nusu. Wanachama wengi wako Chadema Asili na waliokubali kubadili gia angani wako Chadema Mbowe na Lowasa wao. Kwa sasa hawana agenda baada ya ile mafisadi kutekwa na rais JPM.
Nyinyi CCM ajenda yenu ni IPI?? Kipaumbele chenu ni kipi ?
 
Napenda sana kiongozi anayesimamia maneno yake. Lowasa alisema atarudi kuchunga ng,ombe na mbuzi huko kwao. leo bado yupo kwenye vitaru vya mihogo Morogoro na juzi alikuwa kituo cha polisi kati. Je ataaminika huyo?

Lowassa ni mwanachama na katiba ya chadema ipo.
a
 
Huwa nawashangaa wanaojisemesha kuwa upinzani wameachana na agenda ya ufisadi. Hiv kama wapinzani wanazibwa midomo watawezaje kuendelea na vita na Ufisadi?

Kama wewe ni mfatiliaji wa matukio ya kisiasa, wapinzani wameanza kuzibwa mdomo pale walipoanza kuleta bungeni sakata la Lugumi na uuzwaji wa nyumba za serkal. Je uo si ufisadi au wewe unaongelea ufisadi gani? Au ufisadi unaomgusa Magu sio ufisadi?

Bila wapinzani kushadadia swala la Lugumi hata kitwanga asinge tengenezewa muvie ya kumtumbua ila kwakuwa watz wasaulfu tiyar wamesha sahau.

Leo tunadanganywa na utumbuaji hewa. Hakuna mpaka sasa hv tunayeskia kafikishwa mahkaman au kafilisiwa baada ya kutumbulia. Ila watz tulio wajing tunashangilia et ni utumbuaji wakati mijamaa bado inapokea mishahra na tunapishana nayo tu njian inaponda starehe. Wewe leo ukiiba hta kuku ni miaka sita jela. Wenzio wanaiba mabilion wanapewa misamaha au kupunguziwa hukumu. Wewe uku unapiga makofi et utumbuaji.

Ulivyo zoba utasema wanasubili mahkama ya Mafisadi.
 
Mtu akiamka tu Lowassa...akinya tu Lowassa..basi ww unayejua ni fisadi mshitaki kama hujatoa mapovu kwa aibu
 
fimbo ya ccm ni lowasa......................
 
Tushawachoka,naombeni chance nipige hela halafu nikishaneemeka na familia yangu nijiuzulu na ninyi mmbaki kwenye mitandao mkiniimba mimi fisadi,tena hata mimi mkitaka nitakuwa najiimba Mimi fisadi!
 
Hujaelewa, Sio dikteta ila dikteta uchwara

Hata mimi nashangaa kwanini imekuwa ngumu kueleweka...Magu sio dikteta, bali ni "dikteta uchwara" kuna tofauti kubwa sana kati ya maneno hayo mawili. Kwa kudhihirisha kwamba yeye ni dikteta uchwara, bado anatawala kimabavu ilhali kuna katiba na sheria za nchi, na kila siku anapozivunja, watu majasiri kama Lissu na wengine hawaogopi kumwambia na hata kumshinda mahakamani. Dikteta halisi (sio uchwara) huwa ana tawala kwa decree (amri na maono binafsi) au kwa "katiba" ambayo haina vipengele vyovyote vya kumzuia kufanya atakayo kufanya. Sasa kama Magu ndio anataka tufike huko, basi aanze tu sasa hivi kubadili katiba na sheria nyengine, na kuwa yeye ndio mkuu wa yote. Vinginevyo, ni kuendelea kuichanganya nchi bila sababu za maana.
 
bureeeeee kabisa mijitu inaimba lowassssaaaaaa mwizi Mara fisadi mbaf* si mpeleke mahakamani? ndo maana upinzani tunamkubali kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji.
 
Yan Uyo Lowassa utazan amezaa na wake zenu
 
Habari za Lowasa kwa sasa si ishu.Ishu ni habari za hali ya kiuchumi mitaani.Maisha ya mitaani hayaridhishi yanakatisha tamaa.Dili za hapa na pale zimeadimika.Haijulikani matumaini ya kupata kazi yatarejea lini.
 
Habari za Lowasa kwa sasa si ishu.Ishu ni habari za hali ya kiuchumi mitaani.Maisha ya mitaani hayaridhishi yanakatisha tamaa.Dili za hapa na pale zimeadimika.Haijulikani matumaini ya kupata kazi yatarejea lini.
 
Mtoa mada, maumivu ya kichwa, huanza polepoleee.....vivyohivyo Ud.....Uchw....huanza kwa dalili hizo hizo.
 
lowassa amekuwa kete ya sisiem kwa muda sasa na ''heavens only know atakuwa hivyo for a very loooongtime"mpaka mazezeta washtuke kuwa kete hiyo sio issue!
 
Habari za Lowasa kwa sasa si ishu.Ishu ni habari za hali ya kiuchumi mitaani.Maisha ya mitaani hayaridhishi yanakatisha tamaa.Dili za hapa na pale zimeadimika.Haijulikani matumaini ya kupata kazi yatarejea lini.
Kama ulizoea kipato haramu, lazima maisha yatakuwa magumu. Kama una kipato halali, maisha yako vizuri. Usipende kuishi artificial life. Maisha take ni mafupi. Ishi real life, utaishi kwa furaha muda mrefu na hutakuwa unalalamikalalamika.
 
Naunga mkono hoja mkuu umenena mpaka bass...sasa tuwamalize kwa cjui wanawaonaje Watanzania hawa wajamaa na hii saccos yao hiii
 
Mitaani ndiko maisha halisi ya mtanzania yanakoakisiwa.Dili si lazima ziwe shughuli haramu tu.Pia ni kazi halali zinazompatia mtu kipato,apate mkate wa siku ale ashibe,siku ipite.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…