Lowassa ni kama Jacob Zuma?


umefanya analysis nzuri sana ila umesahau sana kuwa enl alishaifanyia kazi hili tena vizuri sana kwani ukae ukijua anafahamu sana zengwe alofanyiwa malecela na pia jamii inatambua mchezo mzima alofanyiwa mpaka kuuondoa u pm, wewe na mimi na watz kibao bado tunakumbuka kauli ya naibu waziri wa ujenzi akiwa mbunge by then kuwa wali withheld some info for the sake of urt......, hajasema na sasa ni naibu waziri, je nin nani mwenye ujasiri wa ku expose hayo, mind u ile kamati wabunge wote wamerudi except mzee shelukindo......, angalizo langu kwako...ni mapema na makosa kumhukumu enl na pia si haki kumhukumu mtu unjustly kwa sababu tu fulani anasema huyu yuko hivi.....,

ccm ina namna zake za kujiendesha acha tusubiri kama watapitia mkondo wa anc au la...., pengine niseme tu uvccm ya sasa haina type ya mtu kama julius wa anc youth charter...., hawa wa kwetu hawasomeki, wakisomeka wana sura ya utumwa...which is more than danger...

Kidumu chama cha mapinduzi
 
Kama yote hayo alisingiziwa ilikuwaje akajiuzulu?
 
King... naona ametumwa na Lowasa,
-kumfananisha Zuma na Lowasa ni sawa na kufananisha au kusema moto ni sawa na maji,vitu ambavyo havilingani.
-Kifupi ni kuwa sisi siyo wadanganyika,kama ana jeuri achukue fomu ya kugombea urais aone kitakachotokea.na ole wao CCM watakakaompitisha utakuwa ndiyo mwisho wa CCM duniani siyo TZ pekee.
-Soma alama za nyakati,au fikiri kidogo yaliyotokea Kenya,Zambia,Malawi na kwingineko ili ujue kuwa wananchi wakikuchoka wamechoka kabisa.
-Nchi hii haiwezi kuongozwa na mtu jeuri,mwenye kiburi,mwenye kutafuta sifa juu ya vichwa vya watu,kupanda ngazi kwa kuangamiza wengine,kuharibia watu maisha,mbinafsi,mkabila,fisadi,mwenye majivuno,anaetenganisha hadi ndugu zake,Mnazi mwenye kila aina ya uchafu haikubaliki.
-Namjulisha mwanzilishi wa hii thread kuwa Tanzania siyo Lowasa tu,au CCM siyo ya Lowasa kuna wengi wenye uwezo mkubwa kuongoza nchi hii kwa mafanikio makubwa mara 100,000 zaidi ya Lowasa na hata aliyeko madarakani hivi sasa lakini hawataki kujitokeza kuogopa kuhujumiwa na hao kina wapenda uongozi.
-Hivi watu wakikuchoka na wewe ukaendelea kujipendekeza kwao kwa kutaka uwaongoze unategemea ni nini kitafuata,jibu sina ila angalia yanayotokea Libya utapata jibu zuri.
-Kwa ufupi mjulishe kuwa hana tena mvuto kwa wa TZ kama ni dawa ilishachuja kitambo,na mganga alishakufa zamani hamna wa kuweza kui renew,pasi na hilo ajivue gamba kwanza ili kidogo arudishe nyuma hasira zetu.
-LA KUVUNDA HALINA UBANI.
 
Mnapoteza muda wenu kumuongelea Lowassa na kumuhukumu pasipo ushahidi, kama ni mwizi mbona hakushitakiwa na kufungwa au kufilisiwa.
Hizo ni Kelele za kuku mwenye vifaranga, sizizomzuia mwewe kuchukua vifaranga. Mnapoteza muda wenu bure labda mumfufue Nyerere na Sokoine.
 
Hayo uliandika juu mbona mengi hayakutokea kipondi akiwa waziri mkuu yeye, mf. No.1: shule za kata zilianza kujengwa wakati wa mkapa.
No.2: hiyo ilikuwa kipindi chake lakini ilprove failure maana watoto walikuwa hawaelewi.
No.3: Hiyo ya kila kata kuwa na kituo cha afya hapa dsm tu kata kibao hazina hata hiyo zahanati labda ungesema kila tarafa kuwa na kituo cha afya ningekuelewa.
No.4: aliifanya akiwa waziri wa maji na maendeleo ya mifugo hakuwa waziri mkuu.
No.5: ilifanyika mwaka wa kwanza tu wa uongozi wa Mkapa na sio kipindi cha Lowasa alivyokuwa waziri mkuu.
 
Huna habari, mwaka 2015 EL atajiunga na CHADEMA na kuteuliwa kuwa mgombea urais kupitia chama hicho. Na mazungumzo kati yao yameisha kamilika inasubiriwa muda tu

Genius Brain unamfahamu Malaria sugu? Au umemsikia? kama ndiyo toa maoni yako kuhusu Ms
 
....na kungekuwa na Richmond katika kila sekta.
Wkt huohuo ukiri kwamba hakuhusika katika Richmond. Na uache kutumwa na watu kumchafua pasipo na ukweli(maana sababu za kilazimisha kuwa yeye anauhusiano na richmond unazowewe pekeee).
 
Asant kwa kiniunga mkono japo unafikiri unanipinga, kwa hiyo umekubali kuwa Lowasa alifanya haya: 1: "Lowasa alihimiza kuwa kila kata ijenge shule na seko ili 80% ya watoto wanaomaliza drs la saba waende sekondari. 2: akiwa waziri wa maji alifuta mkataba wa Dawasco. Lakini bado hutaki kuukubali utendaji wake!?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…