Lowassa ndani ya Moshi leo

Lowassa ndani ya Moshi leo

Eberi M. Manya

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
743
Reaction score
280
Ndugu wanabodi, leo hapa Moshi mjini kuna ujio wa Edward Ngoyai Lowassa kwa ajili ya kampeni akifuatana na kada maarufu na gwiji la CCM aliyechepuka hivi karibuni ndani ya CCM na kuunga mkono mabadiliko.

Mkutano huo wa Lowassa utafanyika katika UWANJA WA MASHUJA hapa Moshi mjini kuanzia saa nane kamili mchana.

Tangu asubuhi saa mbili kumekuwa na shamrashamra kubwa sana hapa Moshi mjini na viunga vyake. Hamasa ni kubwa sana, watu walianza kujaa uwanjani kuanzia saa mbili asubuhi na mpaka muda huu uwanja umeshatapika. Pia polisi (FFU) wametanda kila kona ya mji huo kwa kuangalia usalama zaidi.

Wananchi wote mliokaribu mnakaribishwa. Hii ni nguvu ya mabadiliko ndani ya Moshi na kwa Tanzania kwa ujumla. HAKUNA WA KUZUIA MABADILIKO....Mabadiliko ni lazima...!
 
Ndugu wanabodi, leo hapa Moshi mjini kuna ujio wa Edward Ngoyai Lowassa kwa ajili ya kampeni akifuatana na kada maarufu na gwiji la CCM aliyechepuka hivi karibuni ndani ya CCM na kuunga mkono mabadiliko.
Mkutano huo wa Lowassa utafanyika katika UWANJA WA MASHUJA hapa Moshi mjini kuanzia saa nane kamili mchana.
Tangu asubuhi saa mbili kumekuwa na shamrashamra kubwa sana hapa Moshi mjini na viunga vyake. Hamasa ni kubwa sana, watu walianza kujaa uwanjani kuanzia saa mbili asubuhi na mpaka muda huu uwanja umeshatapika. Pia polisi (FFU) wametanda kila kona ya mji huo kwa kuangalia usalama zaidi.
Wananchi wote mliokaribu mnakaribishwa. Hii ni nguvu ya mabadiliko ndani ya Moshi na kwa Tanzania kwa ujumla. HAKUNA WA KUZUIA MABADILIKO....Mabadiliko ni lazima...!
Kwanza anajitia aibu mbele ya wananchi. Kinapotoka kichwa Magufuli bayana na kwa kirefu kinachoongea sera na mambo ya kupambana na ufisadi halafu kinakuja kitu cha ajabu ambacho hata kikiongea hakionyeshi ajenda yoyote yenye mwelekeo, wananchi wanakudharau. Kwa sababu watalinganisha kati ya yule aliyetoka juzi kwa sababu bado wana kumbukumbu na wewe uliyekuja leo. Wanakukuta ni zero wanaanza kukudharau hapo hapo.
Tena uwezekano wa kupoteza washabiki ni mkubwa mara tu unapoondoka.
 
Ndugu wanabodi, leo hapa Moshi mjini kuna ujio wa Edward Ngoyai Lowassa kwa ajili ya kampeni akifuatana na kada maarufu na gwiji la CCM aliyechepuka hivi karibuni ndani ya CCM na kuunga mkono mabadiliko.
Mkutano huo wa Lowassa utafanyika katika UWANJA WA MASHUJA hapa Moshi mjini kuanzia saa nane kamili mchana.
Tangu asubuhi saa mbili kumekuwa na shamrashamra kubwa sana hapa Moshi mjini na viunga vyake. Hamasa ni kubwa sana, watu walianza kujaa uwanjani kuanzia saa mbili asubuhi na mpaka muda huu uwanja umeshatapika. Pia polisi (FFU) wametanda kila kona ya mji huo kwa kuangalia usalama zaidi.
Wananchi wote mliokaribu mnakaribishwa. Hii ni nguvu ya mabadiliko ndani ya Moshi na kwa Tanzania kwa ujumla. HAKUNA WA KUZUIA MABADILIKO....Mabadiliko ni lazima...!

Pamoja sana wana mabadiliko, yule aliyepost kuwa makofuli ameteka moshi,arusha hajui siasa! kwetu shinyanga ni mabadiliko tu..ccm out, imekata pumzi
 
Picha tafadhali mdau ukawa tupo imara sasa Leo pia TV zitatubania kuonesha mafuriko ya Leo Moshi?
 
Kwa ushauri tu ni bora akapita maeneo aliyopita Magufuli baada ya siku kadhaa na sio immediately. Hiyo mbinu nawapa makamanda, am trying to be neutral here! Without biasness!
Ingawa chadema asilia tumeshasema lowasa hafai kuwa kiongozi wa nchi. Labda awe rais wa monduli. Lakini hata monduli hatakiwi kwa sababu pamoja na mapesa yake hajafanya lolote kule. Ni heri Namelock Sokoine abebe mikoba hiyo.
 
kwanza anajitia aibu mbele ya wananchi. Kinapotoka kichwa magufuli bayana na kwa kirefu kinachoongea sera na mambo ya kupambana na ufisadi halafu kinakuja kitu cha ajabu ambacho hata kikiongea hakionyeshi ajenda yoyote yenye mwelekeo, wananchi wanakudharau. Kwa sababu watalinganisha kati ya yule aliyetoka juzi kwa sababu bado wana kumbukumbu na wewe uliyekuja leo. Wanakukuta ni zero wanaanza kukudharau hapo hapo.
Tena uwezekano wa kupoteza washabiki ni mkubwa mara tu unapoondoka.

yani wewe inatakiwa akili yako ibustiwe na juma nyoso maana nyie fisiem mshapagawa badala ya kutoa sera mnapiga fiesta na kuzoa watu na malori amini msiamini mjiandae kisaikolojia baada ya october 25.
 
Manya please dodosa kama mkutano huo utakuwa 'live' kwenye tv gani, shinyanga hali ya umeme ni mbaya sana zaidi ya mikoa yote
 
Kwa ushauri tu ni bora akapita maeneo aliyopita Magufuli baada ya siku kadhaa na sio immediately. Hiyo mbinu nawapa makamanda, am trying to be neutral here! Without biasness!
Ingawa chadema asilia tumeshasema lowasa hafai kuwa kiongozi wa nchi. Labda awe rais wa monduli. Lakini hata monduli hatakiwi kwa sababu pamoja na mapesa yake hajafanya lolote kule. Ni heri Namelock Sokoine abebe mikoba hiyo.

Ndiyo maana unajiita Babeli, roho ya machafuko.
 
Kwa ushauri tu ni bora akapita maeneo aliyopita Magufuli baada ya siku kadhaa na sio immediately. Hiyo mbinu nawapa makamanda, am trying to be neutral here! Without biasness!
Ingawa chadema asilia tumeshasema lowasa hafai kuwa kiongozi wa nchi. Labda awe rais wa monduli. Lakini hata monduli hatakiwi kwa sababu pamoja na mapesa yake hajafanya lolote kule. Ni heri Namelock Sokoine abebe mikoba hiyo.

Kale mihogo tu, mabadiliko lazima
 
Kwanza anajitia aibu mbele ya wananchi. Kinapotoka kichwa Magufuli bayana na kwa kirefu kinachoongea sera na mambo ya kupambana na ufisadi halafu kinakuja kitu cha ajabu ambacho hata kikiongea hakionyeshi ajenda yoyote yenye mwelekeo, wananchi wanakudharau. Kwa sababu watalinganisha kati ya yule aliyetoka juzi kwa sababu bado wana kumbukumbu na wewe uliyekuja leo. Wanakukuta ni zero wanaanza kukudharau hapo hapo.
Tena uwezekano wa kupoteza washabiki ni mkubwa mara tu unapoondoka.

Mbona unaandika vitu kinyume na uhalisia??unaandika hisia zako yaani.

Unadhani watanzania ni wajinga au wamerogwa?maana kimsingi hawafanyi hivi ulivyoandika.
 
Huyo lofa huyo,yani anapita nyumanyuma kwa wenzie tuuuuuu!!!
 
Yaani leo Magufuli akipita hapa,na yeye kesho yake yupo,hana jipya huyu mamvi fisadi
 
Back
Top Bottom